MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
CHADEMA ilishajifia 2015 baada ya kujipa kazi ya kumtetea mtu aliyekua na kashfa ya ufisadi na kumfanya mgombea wao wa urais. Kinachoendelea ni mbinu tu za Mbowe kama mmiliki wa Chama kuendelea kujipigia tu mihela ya ruzuku.