Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Walibebeshwa majukumu wakina Beckham, Nevile Brothers , Giggs Wakiwa makinda wadogo na kubeba kombe la uefa mwaka 1999....Lukaku hajafikia hadhi ya kucheza man u.
Atabebeshwa mzigo mkubwa.na akishindwa ni lawama na hapo atapotea kabisa.kama di maria,depay.
Vitu vingine havihitaji majibizanoKutokumkubali mchezaji sio kutokujua mpira mkuu.. we dont have to agree
Lukaku hajafikia hadhi ya kucheza man utd.
Hahahahaha naona umeamua kujiliwaza wakati Conte huko kesho ana kikao na wenye team kwanini deal la Lukaku lilifeli..Everton wanavuta £75 million zao plus potential £15M za nyongeza. Then Lukaku anavuta £350,000 zake swaaafi kabisa each and every week. Dejavu ya Pogba. Hapa kuna ka harufu ka kuibiwa, ingawq Man Utd sasa ni specialists wa kuibiwa, japo watajitetea ati watazifidia kwa kuuza jezi la "Lukakau 9"
Bora hakuja Chelsea aisee. Ngoja sisi tujichukulie Chicharito. Yule dogo anajua sana. Sema tu kina Rooney walikuwa wamembana enzi zile.
Inaonekana Conte anapimana ubavu na yule boya Emenalo kwenye transfer targets. Hii inaweza kutucost msimu huu mpya.Hahahahaha naona umeamua kujiliwaza wakati Conte huko kesho ana kikao na wenye team kwanini deal la Lukaku lilifeli..
Sawa.tumpe muda.mwezi wa 8.kesho kutwa.Si kweli,
Chelsea walkuwa wanamtaka pia,that depicts his abilities. Lakini pia kama unataka top striker na sokon wanaopatikana ni morata, lukaku, harry kane (kwa kuvizia) lewandosk (not 4 sale)...utakuwa Wa ajabu kutokujaribu kumsajl lukaku. I believe the lad wil produce.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] .hawachelewi kumchukia.pale wanaposubiri magoli alaf jamaa hafungi.Everton wanavuta £75 million zao plus potential £15M za nyongeza. Then Lukaku anavuta £350,000 zake swaaafi kabisa each and every week. Dejavu ya Pogba. Hapa kuna ka harufu ka kuibiwa, ingawq Man Utd sasa ni specialists wa kuibiwa, japo watajitetea ati watazifidia kwa kuuza jezi la "Lukakau 9"
Bora hakuja Chelsea aisee. Ngoja sisi tujichukulie Chicharito. Yule dogo anajua sana. Sema tu kina Rooney walikuwa wamembana enzi zile.
Hate the games not player...Maybe hukunielewa mkuu.. sikatai,lukaku ni jembe epl.. hata hivo bado ni flop japokuwa alifunga magoli 25.. manne kati ya hayo 25 ndo kazifunga timu kubwa na moja kati ya manne ilikuwa penalty siku ya mwisho vs arsenal..
Msimu wa 2015/16 alifunga magoli 18 na goli moja kati ya hayo aliifunga liverpool ( kwene draw ya 1-1)..
Sasa assume mnacheza na timu kubwa na mnahitaji muujiza.. kweli utamtegemea lukaku???? ni bora aingie ibrakadabra na magongo yake anayotembelea..huwezi juwa anaeza funga[emoji24]
Acha uongo wewe...huwezi kuwa bingwa wa EPL kama unazifunga timu ndogo na kufungwa ama kushindwa kuzifunga timu kubwa! Lazima uwachape wababe wenzio ili kujitenganisha kileleni.. Fikiria nyote mmeshinda mechi ndogo ndogo, kisha big mechi upigwe, utapataje ubingwa?
Ibra alitoka ufaransa kuzifunga timu ndogo ndogo kama unavyosema, lkn ndiye kinara wa mabao kwa Man U kwa msimu uliokwisha, hapo unamuongelea mchezaji Mzee! Vipi kwa Lacazette? Ukijua kufunga umejua tu!
Wanaongea mabaya ya Lukaku ni wapinzani tuu
Hata wasajili Lukaza wa EPA, hakuna title pale msimu ujao!Acha uongo wewe...huwezi kuwa bingwa wa EPL kama unazifunga timu ndogo na kufungwa ama kushindwa kuzifunga timu kubwa! Lazima uwachape wababe wenzio ili kujitenganisha kileleni.. Fikiria nyote mmeshinda mechi ndogo ndogo, kisha big mechi upigwe, utapataje ubingwa?
Ibra anatoka ufaransa timu kubwa ya psg na sio lyon baada ya kucheza italy na spain...lacanyeti amecheza lyon akija ase8 ndio club yake kubwa ataishia kushangaa shangaa kama kina sanogoIbra alitoka ufaransa kuzifunga timu ndogo ndogo kama unavyosema, lkn ndiye kinara wa mabao kwa Man U kwa msimu uliokwisha, hapo unamuongelea mchezaji Mzee! Vipi kwa Lacazette? Ukijua kufunga umejua tu!