Tuma Salaam Kwa Watu Watatu

Tuma Salaam Kwa Watu Watatu

Ok kumbe wapisha msongamano! ila sio mbaya kunguru muoga washahili husema huishi miaka 100 kama umeliona hilo kila la kheri nadhani jiandae kupokea Kassim majaliwa nyingi
Ndio nini hiyo? Pesa au?
 
Ok kumbe wapisha msongamano! ila sio mbaya kunguru muoga washahili husema huishi miaka 100 kama umeliona hilo kila la kheri nadhani jiandae kupokea Kassim majaliwa nyingi
Huyu muoga na hakuna msongamano sema haujamshika haswaa mbona nilipokuwa nae hakuwa na michepuko?Anatakiwa akabe kila kona atiii usikate tamaa kihasara hasara hivyo
 
Usinifanyie hivyo jamani, mie mdogo wako ujue.
Nimekosa bara na pwani, mume kanimwaga na mchepuko nao una miiba!!

Huyo valentina ndio usimuite kabisa, utasababisha nikonde zaidi.
Mbona unatiisha huruma hivyo?Haya nieleze shida ni nini?
 
Huyu muoga na hakuna msongamano sema haujamshika haswaa mbona nilipokuwa nae hakuwa na michepuko?Anatakiwa akabe kila kona atiii usikate tamaa kihasara hasara hivyo
Khaaaaah!! Basi umrudie wewe maana mnawezana, mie nimemshindwa.
 
Mbona unatiisha huruma hivyo?Haya nieleze shida ni nini?
Yaani acha kabisa mpaka nimekonda.

Baada ya kutelekezwa na mume ndio nikapata kipoozeo Rogie kidogo nikapata kahaueni, tooba siku si nyingi si ndio nikambamba mchana kweupeeee anachepuka[emoji134] [emoji134]
 
Back
Top Bottom