Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee uko vizuri, hii comment naikumbuka ila nilisahau kama ndiyo huyu aliyeiandika.
Ndiyo yale yale ya Umomi
Ndo muwe mnataja taja sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee uko vizuri, hii comment naikumbuka ila nilisahau kama ndiyo huyu aliyeiandika.
Ndiyo yale yale ya Umomi
Nimeamua kuwadharau wana jf wote isipokuwa Sky Eclat @erthrocyte Salary Slip Kunde Ekeke na majembe wangu wachache wanaonikubali kwenye mirengo yangu kama BAK na gsam bila kumsahau Mshana Jr wengine wote mkafie mbele.
Exactly my point, and this is why I am telling you that some of us will just mention you by heart not necessarily by writing.
So know that we recognize your presence.
Ndo muwe mnataja taja sasa.
You are just so extraordinary bro!
Keep up the positivity you have!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli, tusije tukawapoteza watu bure humu.
Natuma salamu kwa Bakari Nondo Mwamnyeto
I humbly appreciate your compliment, the same goes to you.
Huyo aliyekuwa wifi yako ni vyema ukaachana nae. Atakusumbua sana katika maisha yako ukiendelea kumng'ang'ania.😀😀Kuna pahala anakwama.
Tulia kuna pahala nakutambulisha soon ni 🔥🔥 Naamini utapapenda.
To some of us kutajwa ni big deal, wengine humu tunajikausha kutaja kwa sababu nyuma ya pazia zitaanza kwa nini umemtaja fulani.
Aseeeee!!
Hapo nilikuwa natafuta namna ya kukutaja ujue, maana naona hunitaji mpaka muda huu.
Nilishawahi kukutaja kwenye uzi fulani hivi hukuja,naogopa kuchuniwa mara mbili
Mie pia ni binaadamu nina moyo ujue,nikiliwa buyu naumia
Labda iwe sikuona notification, kwa vyovyote vile huwezi kunitaja nisije.
Ungejua tu kichwa kinavyonijaa nikiona umenitaja!
Ama uliiona ukasahau kujibu
Ahsante kipenzi.. Salamu zangu zikufikia pia.
Wifi J, kaka yako aliniacha ndiyo maana hata kwa list yake sipoo🤔Oooh!i rove you more my one and onry brother
Muongezee hapo wifi yangu pekee ninayemtambua financial services
@yna2Salamu zangu za Kwanza zimfikie
Smart911 a.k.a brazaaa [emoji23] nakukubali Sana mwamba kula gwala kwaza[emoji109]
Za pili zimfikie Makiseo nakupendaga Sana mdada.. ujumbe ubaki hapo hapo kwenye kutoa likes.
Za tatu zimfikie Depal kipenzi changu Cha ukorofi.. ujumbe Nakupenda tu ivyo ivyo nifanyeje sasa.
Za nne zimfikie cocastic ..ujumbe mfyuuuu Nakupenda ovyoo..punguza mapepe.
Za tano zimfikie Mjep mchizi wanguuuu..ujumbe acha uchoyo kwenye vitamu hatualikani Ila poa tu.
Ovaaaa