Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

Nimeamua kuwadharau wana jf wote isipokuwa Sky Eclat @erthrocyte Salary Slip Kunde Ekeke na majembe wangu wachache wanaonikubali kwenye mirengo yangu kama BAK na gsam bila kumsahau Mshana Jr wengine wote mkafie mbele.

Sasa kumbe wapo watu wanaokukubali mkuu? Au ulitaka ukubalike na JF nzima?

Tupo hapa wengine hatukubaliki na member hata mmoja ila siyo sababu ya sisi kutokuwakubali wengine na kulalamika! Ukifanya vitu ili ukubalike utakufa siku si yako mkuu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli, tusije tukawapoteza watu bure humu.

To some of us kutajwa ni big deal, wengine humu tunajikausha kutaja kwa sababu nyuma ya pazia zitaanza kwa nini umemtaja fulani.

Kwa hiyo kuua so inabidi ujikaushe tu.

Hivi hapa nasubiri kuona Joanah anamtaja nani ili nianzishe kesi.
 
Ama uliiona ukasahau kujibu

Huwa najibu promptly.

Kwa sababu nikisema nisubiri nitajibu baadae nitasahau, na unajua kwa web based notification ikitokea ukachelewa kuijibu unaweza usiikumbuke.

Nakuhakikishia, huwezi kuniita sehemu nikaacha kujibu.
 
Salamu zangu za Kwanza zimfikie

Smart911 a.k.a brazaaa [emoji23] nakukubali Sana mwamba kula gwala kwaza[emoji109]

Za pili zimfikie Makiseo nakupendaga Sana mdada.. ujumbe ubaki hapo hapo kwenye kutoa likes.

Za tatu zimfikie Depal kipenzi changu Cha ukorofi.. ujumbe Nakupenda tu ivyo ivyo nifanyeje sasa.

Za nne zimfikie cocastic ..ujumbe mfyuuuu Nakupenda ovyoo..punguza mapepe.

Za tano zimfikie Mjep mchizi wanguuuu..ujumbe acha uchoyo kwenye vitamu hatualikani Ila poa tu.

Ovaaaa
@yna2
Ahsante Mama.. Na hapa nimeweka like.. Mambo yasiwe mengi[emoji3]
 
Back
Top Bottom