Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
Ratiba zilibana rafiki yangu, kuna sehemu nilikutafuta kweli bila mafanikioAise ulipotelea wapi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ratiba zilibana rafiki yangu, kuna sehemu nilikutafuta kweli bila mafanikioAise ulipotelea wapi mkuu
Amanda
Mbona code sio ngumu kihivyo.
TaggingKatumia vigezo gani kwenye hizo codes
KolomijeHahah kwani hayo majina aliyotumia ni ya wapi
Tagging
Ndio sio ngumu ndio maana nina uhakika sijatajwaAmanda
Mbona code sio ngumu kihivyo.
Ratiba zilibana rafiki yangu, kuna sehemu nilikutafuta kweli bila mafanikio
Haki nimefungua hadi browser sijaonaI did, pitia notifications utaona kuna ujumbe wako pia!
Na mimi nashangaa, huo mfumo aliotumia mimi nadhani aliyemensheniwa tu ndio anapata ujumbe au mimi ndio niko nyuma ya wakatiAisee kivipi yaani mfano umejuaje kama Khantwe ni Amanda nk
Mbona nimekuona kwenye " Amanda "Ndio sio ngumu ndio maana nina uhakika sijatajwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we mtoto umejuajeMbona nimekuona kwenye " Amanda "
Ahsante nimezipokeaMLETA MADA ! tuna tumaje sasa? any way!!!...ngoja kidogo,
Mbali na Yuzazifu!!!
Natuma risalamu Lenye mashamshamu kutoka kwenye sakafu la Mooyo waangu, kwako weye Mpendwa wangu unayeanza kunisoma hapa, wewe ni role Model wangu, tembea popote kifua mbele, iko siku tutaonana, usijali. nime kumiss!! haijalishi hali uliyo nayo kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni bali tukumbukane ktk sala na sadaka!
salamu langu la pili kwenye fungu la kwanza lenye jumla ya watu watano wataosoma hapa wote nawapa hi! ujumbe; ombea upate matatizo na jinsi ya kuyatatua, kwa kufanya hivi utagundua kipaji chako!
Salamu langu la pekee la tatu kwa mdada anaye fungua hili fungu la pili la watu watano kunisoma mimi Nyarusare! ujumbe nipende mimi kwa moyo wako wote, utafungua moyo wangu.
Nne watakao fuata woote kundi hili la tatu la mdada mpendwa, ujumbe tuzidi kupendana maisha ni matamu!
Tano na mwisho,zimwendee mwana jamii forum, kama unajua ni mwana JF sema ndiyo!....
watano tayari
Watu weweee! Nitakupenda Maisha yangu yote from today onwards, Khantwe please be Mine you are the number one in my life, no matter how difficulties gonna be I'll be on your side. Maseru oneAhsante nimezipokea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakyanani sijawahi kupewa maneno mazuri hivi naanzaje kusema noWatu weweee! Nitakupenda Maisha yangu yote from today onwards, Khantwe please be Mine you are the number one in my life, no matter how difficulties gonna be I'll be on your side. Maseru one
Na mimi nashangaa, huo mfumo aliotumia mimi nadhani aliyemensheniwa tu ndio anapata ujumbe au mimi ndio niko nyuma ya wakati
Crush unakwama 😕Haki nimefungua hadi browser sijaona
Subiri nikitulia 😆Sijui wenyewe naona tu wanampongeza capitalpool kwa ubunifu wakati wengine wametuacha kwenye mataa, ngoja nimuulize Davet maana Depal kagoma kunijibu.
Eti Davet hapo mmefunguaje hizo codes
Kwani hata kuna Code basi hapo?Sijui wenyewe naona tu wanampongeza capitalpool kwa ubunifu wakati wengine wametuacha kwenye mataa, ngoja nimuulize Davet maana Depal kagoma kunijibu.
Eti Davet hapo mmefunguaje hizo codes
Ngoja waje watuambie maana mimi najua mtu anaweza kufungua ya kwake tuSijui wenyewe naona tu wanampongeza capitalpool kwa ubunifu wakati wengine wametuacha kwenye mataa, ngoja nimuulize Davet maana Depal kagoma kunijibu.
Eti Davet hapo mmefunguaje hizo codes