Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

MLETA MADA ! tuna tumaje sasa? any way!!!...ngoja kidogo,

Mbali na Yuzazifu!!!
Natuma risalamu Lenye mashamshamu kutoka kwenye sakafu la Mooyo waangu, kwako weye Mpendwa wangu unayeanza kunisoma hapa, wewe ni role Model wangu, tembea popote kifua mbele, iko siku tutaonana, usijali. nime kumiss!! haijalishi hali uliyo nayo kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni bali tukumbukane ktk sala na sadaka!

salamu langu la pili kwenye fungu la kwanza lenye jumla ya watu watano wataosoma hapa wote nawapa hi! ujumbe; ombea upate matatizo na jinsi ya kuyatatua, kwa kufanya hivi utagundua kipaji chako!

Salamu langu la pekee la tatu kwa mdada anaye fungua hili fungu la pili la watu watano kunisoma mimi Nyarusare! ujumbe nipende mimi kwa moyo wako wote, utafungua moyo wangu.

Nne watakao fuata woote kundi hili la tatu la mdada mpendwa, ujumbe tuzidi kupendana maisha ni matamu!

Tano na mwisho,zimwendee mwana jamii forum, kama unajua ni mwana JF sema ndiyo!....

watano tayari
Ahsante nimezipokea
 
Ahsante nimezipokea
Watu weweee! Nitakupenda Maisha yangu yote from today onwards, Khantwe please be Mine you are the number one in my life, no matter how difficulties gonna be I'll be on your side. Maseru one
 
Watu weweee! Nitakupenda Maisha yangu yote from today onwards, Khantwe please be Mine you are the number one in my life, no matter how difficulties gonna be I'll be on your side. Maseru one
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakyanani sijawahi kupewa maneno mazuri hivi naanzaje kusema no
 
Back
Top Bottom