Tuma salamu kwa watu 5 uwapendao hapa

Sisi wenye damu ya makonda na ndugai hatutajwi hata siku moja kwenye nyuzi kama hizi.
 
Sisi wenye damu ya makonda na ndugai hatutajwi hata siku moja kwenye nyuzi kama hizi.

Nilijua utasema unajitoa kabisa JF kwa sababu hujatajwa!

 
Always wana kubali post zangu kwa likes za kutosha na hao ndio wanafanya naingia jf

Sasa kama unafahamu wapo wanaokukubali kwa nini unapenda kulalamika usipotajwa?

Unatakiwa kujua kwamba hao unaowakubali wamekutaja hata kama hawajaandika.
 
salamu kwa wote wanaokula kukumoshi, hakikisha umemnyonga mwenyewe kwenye rizla
 
Natuma salamu kwa Mtu wa Kwanza

Natuma salamu kwa mtu wa Pili

Natuma salamu kwa Mtu wa Tatu

Natuma salamu kwa Mtu wa Nne


Natuma salamu kwa Mtu wa Tano
 
Sasa kama unafahamu wapo wanaokukubali kwa nini unapenda kulalamika usipotajwa?

Unatakiwa kujua kwamba hao unaowakubali wamekutaja hata kama hawajaandika.
🤣🤣 Take it easy man am not obsessed with popularity thou.....jf is just for funny sometimes..!!!
 
🤣🤣 Take it easy man am not obsessed with popularity thou.....jf is just for funny sometimes..!!!

Reading between lines, seems as if it concerns you so much not to be mentioned.

Had it been the first time, I could have taken it easy, but it ain't the first, nor the last.
 
Nawapa salam wazee wote wa Jf(platinum credit) vijana (wapwa), watoto wa under 20, na na wageni ambao wanaogopa ku comment wanaishia tu kusoma na kuondoka.

Cocostic salam zako zipo apa pia

Ujumbe Jf ni huru kwa kila mtu
 
Reading between lines, seems as if it concerns you so much not to be mentioned.

Had it been the first time, I could have taken it easy, but it ain't the first, nor the last.
Tailing me so much that way defines my importance into you....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…