Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Maelezo ya kina baadaeAisee kumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maelezo ya kina baadaeAisee kumbe
Alaa na wewe tenaMaelezo ya kina baadae
Utaniambia vizuriAlaa na wewe tena
Sema nikuambie nini hapahapaUtaniambia vizuri
Umeanza lini kuonyesha mapajaSema nikuambie nini hapahapa
Mimi sijui hata aliliona wapi etiUmeanza lini kuonyesha mapaja
Zile skinny jeans labda zilikuchora ila swali alijuaje ni wewe?Mimi sijui hata aliliona wapi eti
Haya maswali ni vema akajibu yeye[emoji1787][emoji1787]Zile skinny jeans labda zilikuchora ila swali alijuaje ni wewe?
Ngoja nirudi nyumbaniHaya maswali ni vema akajibu yeye[emoji1787][emoji1787]
In Kurian voice....
Eeee saramu zangu za kwanza zimfikie kurwa wangu bubie Joanah ujumbe atambue kuwa nampenda sana
Eeeh saramu zangu za piri, zimfikie popote aripo mrembo na kisura mtoto ariye barikiwa Goddess
Saramu zangu za tatu, ziwafikie wale hustlers wote kwenye ule uzi wa wanahisa tusio rasmi, ujumbe vipigo vimezidi lakini siku moja tutaboa.
Saramu zangu za tatu zimfikie popote alipo baharia Mbao za Mawe nasikia kawekwa ndani na jimama hata kuperuzi jf anashindwa.
Saramu zangu za mwisho zimfikie Sakayo popote alipo ajue bado sijamsamehe.
Nyumbani nipo mimi hayupo yeyeNgoja nirudi nyumbani
Kuwa mswahili tuNyumbani nipo mimi hayupo yeye
Nishaikosa ofa jamaniii...😢😢😢🤣🤣🤣🤣Njoo leo sasa tule nyama
😅😅😅sasa hivi nauchoma kidigital ..kwenye maikrowevuuuu...😎😎😎Hadi saivi unafanya hivyo
embu tuma tena bebe...Nimekutumua salamu VVIP, umezipata?
🙏🙏
Napitaga kuwasoma tu wanavyoidiss Darisalama na kuupamba huo mji wao. 😀
Usilie bado ipoNishaikosa ofa jamaniii...í ½í¸¢í ½í¸¢í ½í¸¢í ¾í´£í ¾í´£í ¾í´£í ¾í´£
Ahaa sawaí ½í¸í ½í¸í ½í¸sasa hivi nauchoma kidigital ..kwenye maikrowevuuuu...í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Huyo aliyekuwa wifi yako ni vyema ukaachana nae. Atakusumbua sana katika maisha yako ukiendelea kumng'ang'ania.😀😀Kuna pahala anakwama.Oooh!i rove you more my one and onry brother
Muongezee hapo wifi yangu pekee ninayemtambua financial services
Nilijua utasema unajitoa kabisa JF kwa sababu hujatajwa!