Tuma Salamu za Krismas kwa watu wawili Unaowapenda sana hapa JF

Tuma Salamu za Krismas kwa watu wawili Unaowapenda sana hapa JF

Kuna member mmoja wa kike humu nampendaga sanaa,,,,,sipo tayr kumtaja mana atavimba sanaaaaaa........afu itakua tatizo zaidi. Namtakia chrismass njema
 
Asante mtani wangu. SI TUPO FIFA tunajiandaa na Club WC 2025. NBC tumewaachia ninyi
Mtani Fifa hii hii nayoijua mie?
50 cent.gif


 
Salam zangu zimfikie [mention]AshaDii [/mention] [mention]Drgwajima [/mention] nawakubali sana..
 

wakamaria wote wa kule betting thread poleni na vipigo lakini nawatakia krismas njema

Excel kwamba unaogopa kunitaja hata kunitakia krismas njema ubaya huo! raraa reree huna baya mwanangu likes zako i wish zingekua ni hela, enjoy krismas na familia yako mshamba_hachekwi i wish yu a meri krisman end a hapi nyu ya
Asanteni sana Mama Mwana na EMMYGUY

Heri ya sikukuu na kwenu pia.
 
Back
Top Bottom