Hector Cooper
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 696
- 1,036
1.To yeyeHERI YA SIKUKUU YA KRISMAS WADAU,
Uzi huu ni wa kutuma salamu za krismas kwa Wadau wawili hapa jamvini, haijalishi dini, dhehebu, wala kabila lake...
Malizia na ujumbe "Nampenda Sana"
Mimi naanza kutuma salamu kwa Mtu wangu wa karibu Heaven Sent pamoja na Mohamed Said
Ujumbe : Nawapenda sana
Kwako pia..
Aposto kuna muujiza hapaGono limefikaje kwenye Christmas Tena wakuu? [emoji28][emoji28][emoji28]
Huu uzi utakavyowabadilikiaAposto kuna muujiza hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna gono sugu limepona na mambo yanakwenda vyedi.
Njaa ni mbaya sana.
Depal
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Tanzania pekeyake mgonjwa wa ukimwi anapona.H
Huu uzi utakavyowabadilikia
Mtafungua gift za ban leo ππ
NB: Serikali inatakiwa kupewa tips on how to cure HIV and AIDS.
π bado hamjasemaNi Tanzania pekeyake mgonjwa wa ukimwi anapona.
Itabidi waisaidie dunia sasa.
Ni kichaa pekeyake anaweza kurudi lilipo gono sugu.
2023 mwaka wa maajabu sana.
NakaziaH
Huu uzi utakavyowabadilikia
Mtafungua gift za ban leo ππ
NB: Serikali inatakiwa kupewa tips on how to cure HIV and AIDS.
Na mimi nilikuwa nasubiria kutoka kwako , nikahisi utanisababishia hata muamala wa soda nikaona kimya kakaThanks sister, japo mli ninyima hata Picha za pilau[emoji23][emoji2]
ipo wazi mbonaNaomba ufungue PM tuongee Ri ri π
Nani amepona gono sugu? Apande madhabauni tusikie ushuhuda wake. π π πAposto kuna muujiza hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna gono sugu limepona na mambo yanakwenda vyedi,majeshi yamerudi.
Njaa ni mbaya sana.
Depal
Sent using Jamii Forums mobile app
Huendi mbinguni we kijanaπ€£π€£Nani amepona gono sugu? Apande madhabauni tusikie ushuhuda wake. π π π
Na mbona umemtag D? Au ndio huyo?
Naona mnanichanganya tu. Ghafla boxing day mnaanza kutoa ushuhuda wa gono. Hebu elezeeni kwa uwazi. Au ni wewe?πHuendi mbinguni we kijanaπ€£π€£
Kuna watu wamepona gono sugu na Ukimwi.Naona mnanichanganya tu. Ghafla boxing day mnaanza kutoa ushuhuda wa gono. Hebu elezeeni kwa uwazi. Au ni wewe?π
Kwani aposto huna habari?Nani amepona gono sugu? Apande madhabauni tusikie ushuhuda wake. π π π
Na mbona umemtag D? Au ndio huyo?
Kama ni hivyo unapigana vita ambayo tayari umesha shindwa na huyo unaye Jaribu kumpigania Alisha sema yeye hspiganiwi. Huwa anajipigania yeye mwenyewe. So preserve your energy to walk towards the promised land ( Canaan). Other wise 'utafika ukiwa taaban'.Sihangaiki na wapagani,
Lakini wanaojiita wakristo wa kuigiza, hao ni halali yangu.
Pia ujue Si wote wanajua Kweli kuwa Yale ni masanamu na mafundisho ya Uongo.
ELIMU lazima, maonyo na makaripio!!
Naona nimeingia kwenye mtumbwi wa vibwengo. Sielewi kabisa code zenu π πKuna watu wamepona gono sugu na Ukimwi.
Kumbe ugonjwa unatibika na watu hawasemi wanaacha wenzao wanateseka, watu wasiri sana.
Hata wewe umeamua kuniongelea kwa mafumbo? Mmenifanya kama vile nimekosea lecture room. Nimeingia darasa na mainjinia wakati kozi yangu ni journalism π πKwani aposto huna habari?
Wewe si ndio baba maombiπ
Aposto upo muujiza mwingine
Aposto: Enhee tuambie
Kuna mwamba kumbe alikuwa anafukuzia gono aisee
Aposto:Sema Ayayaaaa