Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Thanks cute, merry Christmas to you too🍷
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks cute, merry Christmas to you too🍷
Wewe msabato na itikadi yenu ya SDA umeshawehuka.Anayeabudiwa tarehe 25 December ni Tamuzi, muungu wa Babeli aliyeingizwa afanane na YESU Ili aabudiwe Kwa Siri na wakristo. Hiyo ni KAZI ya waroma.
Mnaabudu miungu Kwa kujua au kutojua.
Soma (Yeremia 7:17-18), (Ezekiel 8:1-20), (Mwanzo 1:8) Nimrod ndiye baba wa Tamuzi wa mchongo.
Thank you.. enjoy your dayThanks cute, merry Christmas to you too🍷
🌹Thank you.. enjoy your day
Niliwai muweka kwenye ignore list ila sasa hivi nammisi jamaa alikua ana keraa anakeraa Tena sijui yupo wapi biaHeri ya xmass jf member wote.
Hivi Bia yetu alikufa Magufuli alipokufa. Huyu siwezi kumtakia heri ya krismass.
Na wewe piaSalamu zangu zifike kwa;
Kiranga
Kaka mwakani tuanzishe podcast tuwalete watu kwenye nuru.
Robert Heriel Mtibeli
Kaka nakukubali sana taikon wa fasihi.
DR Mambo Jambo
Doctor by professional nakukubali sana kwa marifa uliyonayo.
Asante b…Oh! Asante sana kwa salaam hizi b..., nawe uwe na sikukuu njema pia na mwisho mwema wa mwaka huu 2023.
Ova
AmenThanks alot mkuu,be blessed, I love u all Jf members mkawe na afya njema kabisa kabisa na Mungu awabariki.
una wawish tanesco au umeparamia mtumbwi wa wajuba?TANESCO mmerogwa au? Mnakatakata umeme ovyo ovyo tu mnavyojisikia tena bila hata sababu, juzi mmetoka kupigwa madongo na Makonda kwamba ndio Mama Samia amewatuma mfanye hivyo naona mnapariria zaidi yaan mnakatakata tu umeme ovyo ovyo tu ndio mlivyotumwa?
malizia jamani b bati au bata?Asante b…
Cheers