πππ ah kuwa qouted sio shida zako mahiiAs long as unanipa ka like[emoji23]
Me sina baya my queen[emoji38][emoji38]
Sawa anti, shkamoo π€£π€£mheshimu Aunty kama huwez ita mke mwenza π€£ π€£ π€£ π€£ π€£
Kwani ule uzi wa umbea wa usiku uko wap umefutwa au?
Hao ni mbwauna wawish tanesco au umeparamia mtumbwi wa wajuba?
Kwa kweli tuishi nao Kwa roho mbaya tuHata mimi Binafsi nimeamini sipendwi humu
Merry Christmas to you too Mtoto halali na hela ππDr Lizzy binti kiziwi To yeye Shadeeya Evelyn Salt Maxence Melo Mshana Jr kiwatengu mzabzab na wengineo wote jf muwe na sikukuu njema ya Christmas
Ndugu zetu mtusamehe sanaEeh naenzi mnayopitiaπ€£π€£
Sijakuelewa mpendwa, msamaha wa niniNdugu zetu mtusamehe sana
Mambo ni mengi.
Tulikuwa hatuwaelewi aiseeSijakuelewa mpendwa, msamaha wa nini
Merry Christmas dearπ²Tulikuwa hatuwaelewi aisee
Ina maana kumbe naye karudi kwenye gono alilokuwa anasema lipo?Merry Christmas dearπ²
Mama Mwana unaniuaaaaaa π€£π€£π€£wewe nifanye mimi fala, yan mpaka mseme hiyo b msioimalizia ni nini bakari,bebi,boya?
Ukiona kuna mkanganyiko, basi tambua fika hiyo sikukuu haikuhusu! Na hivyo waachie wenye sikukuu yao wafurahie, na wewe endelea na shughuli zako za kila siku.Jamani mwenye maelezo mazuri hii krismas ilitokana na nini maana kuna mkakanganyiko sana hapa kuhusu hii siku