Tuma Salamu za Krismas kwa watu wawili Unaowapenda sana hapa JF

Tuma Salamu za Krismas kwa watu wawili Unaowapenda sana hapa JF

Anayeabudiwa tarehe 25 December ni Tamuzi, muungu wa Babeli aliyeingizwa afanane na YESU Ili aabudiwe Kwa Siri na wakristo. Hiyo ni KAZI ya waroma.

Mnaabudu miungu Kwa kujua au kutojua.

Soma (Yeremia 7:17-18), (Ezekiel 8:1-20), (Mwanzo 1:8) Nimrod ndiye baba wa Tamuzi wa mchongo.

Huyo tamuzi ni mama ako?
 
Mnanizuia kwa sababu sijui zizi lilikuwa na ng'ombe wangapi wallah Subirini Iddi
255758001540_status_8a05923337c44126b1c0ac95f9ff7ce1.jpg
 
Anayeabudiwa tarehe 25 December ni Tamuzi, muungu wa Babeli aliyeingizwa afanane na YESU Ili aabudiwe Kwa Siri na wakristo. Hiyo ni KAZI ya waroma.

Mnaabudu miungu Kwa kujua au kutojua.

Soma (Yeremia 7:17-18), (Ezekiel 8:1-20), (Mwanzo 1:8) Nimrod ndiye baba wa Tamuzi wa mchongo.
Shida ya dini kuchanganya Biblia,Ndoto za mwanamke kalala kaota malaika watatu na mafundisho ya kipagani na kujenga doctorine ya kanisa la sabato.Kama ulivyoandika hapo ni mchanganyiko wa hayo matatu

Ukristo unajengwa kwenye kitu kimoja tu Biblia pekee sio hayo matatu
 
Back
Top Bottom