Tumaini Kweka akemewe aache kutumia kodi za Wananchi kumtengenezea Sabaya kesi za mchongo ili apige pesa

Tumaini Kweka akemewe aache kutumia kodi za Wananchi kumtengenezea Sabaya kesi za mchongo ili apige pesa

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!
Leo natua kwa huyu mtu anaitwa Tumaini kweka ambaye ni naibu DDP wa serikali,kwanza sitaki nimjue sana kwa sasa napata kichefu chefu.

Niwazi huyu mtu amemgeuza Sabaya kama project ya kujitengenezea pesa kutoka katika kodi za wananchi pasipo Samia kujua hilo.Wananchi na wanaccm wenzangu tungumbuke yakwamba huyu mtu anapoendesha hizi kesi ashinde asishinde lazime alipwe na serikali.

Kwa hiyo, kwa mazingira haya yeye kweka nikama anafanaya biashara.

Lakini kwa upande mwingine anatumika kisiasa na wafanyabiashara waliokuwa wanakwepa kodi katika biashara zao kwalengo la kumkomoa Sabaya na kulipiza kisasi.

Naweza kutafsiri kama ni njia nyingine ya upigaji pesa kama njia zingine tu ila tofauti nikamba yeye anatengeneza mazongira ya kupata uwalali..

Tunaomba serikali ya awamu ya sita kama inaheshimu kodi za wananchi ifutwe hizi kesi za Sabaya isiyokuwa na nyumba wala mbele ili pese ipelekwe kwenye matumizi mengine.

Naamini kesi ya mbowe imetumia pesa nyingi sana ambayo nikodi ya wananchi lakini mwisho wa siku kesi ikaisha kisiasa.

Screenshot_20220604-005316.jpg
 
Huyu sabaya jambazi. Trip hii kamwaga watu hapa wa kumpigia pande. Ingekuwa nchi yenye utawala wa haki huyu sabaya ilikuwa amenyongwa huyu jambazi kwa matendo aliyowafanyia watu. Hayo mahakamani ni robo tu ya unyama wake. Wapo wengi aliowafanyia unyama wamenyamaza.

Kuna sabaya,makonda,hapi na wenzie ilikuwa wawe wamechezea mvua si chini ya 30
 
Huyu sabaya jambazi. Trip hii kamwaga watu hapa wa kumpigia pande. Ingekuwa nchi yenye utawala wa haki huyu sabaya ilikuwa amenyongwa huyu jambazi kwa matendo aliyowafanyia watu. Hayo mahakamani ni robo tu ya unyama wake. Wapo wengi aliowafanyia unyama wamenyamaza.

Kuna sabaya,makonda,hapi na wenzie ilikuwa wawe wamechezea mvua si chini ya 30
Ccm majambazi ndiyo wenye chama kamaulikuwa ujui
 
Hapo vip!!
Leo natua kwa huyu mtu anaitwa Tumaini kweka ambaye ni naibu DDP wa serikali,kwanza sitaki nimjue sana kwa sasa napata kichefu chefu.

Niwazi huyu mtu amemgeuza Sabaya kama project ya kujitengenezea pesa kutoka katika kodi za wananchi pasipo Samia kujua hilo.Wananchi na wanaccm wenzangu tungumbuke yakwamba huyu mtu anapoendesha hizi kesi ashinde asishinde lazime alipwe na serikali.

Kwa hiyo, kwa mazingira haya yeye kweka nikama anafanaya biashara.

Lakini kwa upande mwingine anatumika kisiasa na wafanyabiashara waliokuwa wanakwepa kodi katika biashara zao kwalengo la kumkomoa Sabaya na kulipiza kisasi.

Naweza kutafsiri kama ni njia nyingine ya upigaji pesa kama njia zingine tu ila tofauti nikamba yeye anatengeneza mazongira ya kupata uwalali..

Tunaomba serikali ya awamu ya sita kama inaheshimu kodi za wananchi ifutwe hizi kesi za Sabaya isiyokuwa na nyumba wala mbele ili pese ipelekwe kwenye matumizi mengine.

Naamini kesi ya mbowe imetumia pesa nyingi sana ambayo nikodi ya wananchi lakini mwisho wa siku kesi ikaisha kisiasa.

View attachment 2250500
Mtoa Mada akili zako zipo mkunduni
 
Hapo vip!!
Leo natua kwa huyu mtu anaitwa Tumaini kweka ambaye ni naibu DDP wa serikali,kwanza sitaki nimjue sana kwa sasa napata kichefu chefu.

Niwazi huyu mtu amemgeuza Sabaya kama project ya kujitengenezea pesa kutoka katika kodi za wananchi pasipo Samia kujua hilo.Wananchi na wanaccm wenzangu tungumbuke yakwamba huyu mtu anapoendesha hizi kesi ashinde asishinde lazime alipwe na serikali.

Kwa hiyo, kwa mazingira haya yeye kweka nikama anafanaya biashara.

Lakini kwa upande mwingine anatumika kisiasa na wafanyabiashara waliokuwa wanakwepa kodi katika biashara zao kwalengo la kumkomoa Sabaya na kulipiza kisasi.

Naweza kutafsiri kama ni njia nyingine ya upigaji pesa kama njia zingine tu ila tofauti nikamba yeye anatengeneza mazongira ya kupata uwalali..

Tunaomba serikali ya awamu ya sita kama inaheshimu kodi za wananchi ifutwe hizi kesi za Sabaya isiyokuwa na nyumba wala mbele ili pese ipelekwe kwenye matumizi mengine.

Naamini kesi ya mbowe imetumia pesa nyingi sana ambayo nikodi ya wananchi lakini mwisho wa siku kesi ikaisha kisiasa.

View attachment 2250500
JIZI LIMEBANANISHWA UAJI LIMEBANANISHWA LAZIMA AVUNE ALICHOPANDA MTAPIGA KELELE SANA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Huyu sabaya jambazi. Trip hii kamwaga watu hapa wa kumpigia pande. Ingekuwa nchi yenye utawala wa haki huyu sabaya ilikuwa amenyongwa huyu jambazi kwa matendo aliyowafanyia watu. Hayo mahakamani ni robo tu ya unyama wake. Wapo wengi aliowafanyia unyama wamenyamaza.

Kuna sabaya,makonda,hapi na wenzie ilikuwa wawe wamechezea mvua si chini ya 30
Kumtoa ubunge mwamba wa Machame na kudhibiti kitovu cha wizi machame ndio kosa kubwa alilofanya Sabaya.
 
Ifikie wakati mtulie sasa. Muda wote na wenzako ni kumlilia tu Sabaya! Aliwapa kitu gani huyo jambazi sugu?
Awape nini Sasa? Ni penzi tu pamoja na kushinda kutwa kucha Arusha kwenye mahotel ya kifahari kunywa pombe na ngono. MUULIZE GIGI MONEY ANUJUA VIZURI BATA ZA MFUNGWA SABAYA. Nandy yeye aliponea tundu la sindano kubakwa pale weruweru safari lodge
 
Back
Top Bottom