Halafu ukute ni baba wa familia ( zero brain)Mtoa Mada akili zako zipo mkunduni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu ukute ni baba wa familia ( zero brain)Mtoa Mada akili zako zipo mkunduni
Malizia na ujambazi wa kutishia watu na kisha kunyang'anya hela. Kuwalazimisha wake za watu kulala nao. Kunywa pombe bar mbalimbali na kugoma kulipa akijitapa yeye ni usalama.Kumtoa ubunge mwamba wa Machame na kudhibiti kitovu cha wizi machame ndio kosa kubwa alilofanya Sabaya.
Ndio wapambe wake waliopona mkono wa sheriaIfikie wakati mtulie sasa. Muda wote na wenzako ni kumlilia tu Sabaya! Aliwapa kitu gani huyo jambazi sugu?
Hivi aliemteuwa hakuwahi hata kusikia fununu ya haya? Ndo maana mchakato wa kumuweka madarakani milele ulikuwa unafanyika kwa kasi kubwa sana. "Yaani mshahara nikulipe na usafiri nikupe halafu umtangaze mpinzani kashinda" " Niiiiileeeeteeeeniiiiii Gwaaajiiiiiiiimaaaaa" pumba.vu kabsa.Malizia na ujambazi wa kutishia watu na kisha kunyang'anya hela. Kuwalazimisha wake za watu kulala nao. Kunywa pombe bar mbalimbali na kugoma kulipa akijitapa yeye ni usalama.
Wanatafutwa si umeona Meya na Antero wamekamatwaNdio wapambe wake waliopona mkono wa sheria
Bahati nzuri walikuwa wakiiba wanampelekea haraka snHivi aliemteuwa hakuwahi hata kusikia fununu ya haya? Ndo maana mchakato wa kumuweka madarakani milele ulikuwa unafanyika kwa kasi kubwa sana. "Yaani mshahara nikulipe na usafiri nikupe halafu umtangaze mpinzani kashinda" " Niiiiileeeeteeeeniiiiii Gwaaajiiiiiiiimaaaaa" pumba.vu kabsa.
Kweka analetewa na wapelelezi wala hata hahusiki hata kdgTatizo hujui chain ya kudeal na criminal cases ilivyo na inavyoanza. Unadhani Kweka anaamka tu na kuanza kesi?
Jambazi sugu kabisa hiliHuyu sabaya jambazi. Trip hii kamwaga watu hapa wa kumpigia pande. Ingekuwa nchi yenye utawala wa haki huyu sabaya ilikuwa amenyongwa huyu jambazi kwa matendo aliyowafanyia watu. Hayo mahakamani ni robo tu ya unyama wake. Wapo wengi aliowafanyia unyama wamenyamaza.
Kuna sabaya,makonda,hapi na wenzie ilikuwa wawe wamechezea mvua si chini ya 30
Yule alikuwa ni malaya na jambazi suguAwape nini Sasa? Ni penzi tu pamoja na kushinda kutwa kucha Arusha kwenye mahotel ya kifahari kunywa pombe na ngono. MUULIZE GIGI MONEY ANUJUA VIZURI BATA ZA MFUNGWA SABAYA. Nandy yeye aliponea tundu la sindano kubakwa pale weruweru safari lodge
Ila tunatofautiana sana,kuna baadhi ya watanzania wanataka kweli Sabaya arudi araiani? Afurahie maisha anywe na kula😲😲😲😲😲😲Kweka analetewa na wapelelezi wala hata hahusiki hata kdg
I see kweli?. Hiyo ndio kesi sasa na uchunguzi wa kweliWanatafutwa si umeona Meya na Antero wamekamatwa
Bado Mnyeti na Jerry MuroI see kweli?. Hiyo ndio kesi sasa na uchunguzi wa kweli
Free SabayaAwape nini Sasa? Ni penzi tu pamoja na kushinda kutwa kucha Arusha kwenye mahotel ya kifahari kunywa pombe na ngono. MUULIZE GIGI MONEY ANUJUA VIZURI BATA ZA MFUNGWA SABAYA. Nandy yeye aliponea tundu la sindano kubakwa pale weruweru safari lodge
Jambawazi Lengai ole saambovu anastahili kuwa ameoza kaburini leo hii na tuwe tumeshamsahau, hakuna kesi ya mchongo, bali kitabu chake alikiandika yeye mwenyewe!Hapo vip!!
Leo natua kwa huyu mtu anaitwa Tumaini kweka ambaye ni naibu DDP wa serikali,kwanza sitaki nimjue sana kwa sasa napata kichefu chefu.
Niwazi huyu mtu amemgeuza Sabaya kama project ya kujitengenezea pesa kutoka katika kodi za wananchi pasipo Samia kujua hilo.Wananchi na wanaccm wenzangu tungumbuke yakwamba huyu mtu anapoendesha hizi kesi ashinde asishinde lazime alipwe na serikali.
Kwa hiyo, kwa mazingira haya yeye kweka nikama anafanaya biashara.
Lakini kwa upande mwingine anatumika kisiasa na wafanyabiashara waliokuwa wanakwepa kodi katika biashara zao kwalengo la kumkomoa Sabaya na kulipiza kisasi.
Naweza kutafsiri kama ni njia nyingine ya upigaji pesa kama njia zingine tu ila tofauti nikamba yeye anatengeneza mazongira ya kupata uwalali..
Tunaomba serikali ya awamu ya sita kama inaheshimu kodi za wananchi ifutwe hizi kesi za Sabaya isiyokuwa na nyumba wala mbele ili pese ipelekwe kwenye matumizi mengine.
Naamini kesi ya mbowe imetumia pesa nyingi sana ambayo nikodi ya wananchi lakini mwisho wa siku kesi ikaisha kisiasa.
View attachment 2250500
Leo kasinda tena kesi zenu za michongo
Ni kesi za kuwafurahisha Chadema.Leo kasinda tena kesi zenu za michongo