Tumalize utata: Simba Vs Yanga nani ana uzi mkali?

Tumalize utata: Simba Vs Yanga nani ana uzi mkali?

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Piga kura yako kwa kuandika jina la timu yenye jezi kali kati ya Simba Vs Yanga.
9E87E573-709F-40E6-A748-AED01795EAAC.jpeg

35BF1553-DF04-4441-AFB2-81FB23A06BC5.jpeg
 
Naomba namba za huyo mwenye jezi za nyeupe ya simba
 
Namungo na singinda have the best Jersey so far. azam gold is also better. wengine Hawa wametoa matambala ya kudekia sio simba sio yanga
 
Duuuh,huyo m-bet anavyopenda sifa, sasa ndiyo nini hicho?
 
namungo na singinda have the best Jersey so far. azam gold is also better. wengine Hawa wametoa matambala ya kudekia sio simba sio yanga
Ila kumbuka umeulizwa kati ya wa simba na Yanga. Watu wengi huwa wanafeli mtihani kwa kujibu swali wasiloulizwa
 
Back
Top Bottom