KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,370
- 5,381
Ungeweka wale wadada wa mnike bwanaPiga kura yako kwa kuandika jina la timu yenye jezi kali kati ya Simba Vs Yanga.
View attachment 2695536
View attachment 2695537
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeweka wale wadada wa mnike bwanaPiga kura yako kwa kuandika jina la timu yenye jezi kali kati ya Simba Vs Yanga.
View attachment 2695536
View attachment 2695537
Kamera yako nzuri inaonyesha uhalisia hizo picha nyingine nafikiri kamera ina matatizoTulikwisha sema JEZI ni moja tu kwenye hili TAIFA,hizo nyingine ni magunia ya kuwekea Mahindi na Mpunga wakati wa mavuno!
View attachment 2695547
Kweli kabisa.Watani kubalini yaishe safari hii mmekaa uzi wa Simba upo vyedi..
Wewe ni ke?Jezi ya yanga nzuri
Hawa wengine wanaiga lakini bado
Mbunifu wa yanga yuko vizuri
Halafu angefeli tena kwa kukosea herufi kwa kuziita singinda.Ila kumbuka umeulizwa kati ya wa simba na Yanga. Watu wengi huwa wanafeli mtihani kwa kujibu swali wasiloulizwa
Thats proffessionalism bro. Jezi inabeba ujumbe ndio maana inabeba inatolewa maelezo huwezi kuwa na jezi haina purpose yoyote yan ikibuniwa inakua tu kama mpishi wa maandazi akiamka anajiamulia leo nitoe ya shape ya yai , siku nyingine duara.Jezi za Yanga zikitolewa mpaka zitolewe maelezo mengi kama mkataba wa DP World la sivyo hazitembei.
Sawa ndugu Uto zile tetris katika uzi wenu wa njano, Rasta kawaambia zinamaanisha nini?Thats proffessionalism bro. Jezi inabeba ujumbe ndio maana inabeba inatolewa maelezo huwezi kuwa na jezi haina purpose yoyote yan ikibuniwa inakua tu kama mpishi wa maandazi akiamka anajiamulia leo nitoe ya shape ya yai , siku nyingine duara.
Hivi vitu makolo ni ngumu kuelewa kwa sababu hawajazoea ufanisi kwa kila jambo
Kwa hiyo wewe ulisema zinatolewa maelezo na wala hukumsikiliza mbunifu? Ungetuliza ndonga kumsikiliza usingekua unajiabisha hapaSawa ndugu Uto zile tetris katika uzi wenu wa njano, Rasta kawaambia zinamaanisha nini?