Tumbo kubwa..nilipunguze vipi? kwa njia ya vyakula lakini

mi mazoezi yamenishinda..ndio maana nahitaji tu aina ya vyakula ninavyotakiwa kula
maji ya uvuguvugu nakunywa..

kuna mama mmoja alikuwa na tumbo na weigh balaa.....kutoka 104 kilo

sa hivi ana 84.ni mtu wa mazoezi yeye hali wali wala ugali.akila ni siku moja moja

ndizi za kuiva nazo hali.....asubuhi anapiga glass ya maji vuguvugu 4.chai hanywi akinywa haina sukari kihivo

yeye anakula matunda sana sana na mboga mboga....chips,vyakula vya kukaangwa mafuta mengi nazo sio poa

ana DIET yake nimemwomba kuna shoga angu nae anasumbuliwa na tumbo + uzito akinipa nitakupa
 
sa nikikimbia si nitapungua mwili wote ama?..maana lengo langu ni kupungua tumbo tu..chips nimeacha japo ni ngumu yani..
 
asante sana in advance...ila jamani ugali ninavoupenda..itaniuma kuuacha
 
Last edited by a moderator:
asante sana..nitaanza leo kula mbogamboga usiku..
 
sinywi bia..,kitimoto mara moja moja sana..chips nilikua nakula sana lakini nimeacha.. Asprin hayo mafungo nitafunga kia siku jaman?
mwallu hapo Parokiani hamna mafungo. Kama hamna mafungo jitahidi ufunge, ukeshe kwa kusali. Dawa ya kupunguza kitambi ni kupunguza kula hasa usiku.

Vipi bia unakunywa?
 
Last edited by a moderator:
du basi siku zote sikuwahi kuwa na tumbo mara ghafla naona linafutuka hivyo nikaanza mazoezi ya tumbo. kumbe ngoja niache nifanye ya kuruka ruka zaidi kama kamba n.k. mpaka litakapopungua ndio nianze mazoezi ya tumbo Lol!
 
mie nilikua flat tumboni mpaka nilikua naulizwa kama hua nakula..saiv..aarrgghhh..hata sare za utawani hazikai poa yani
du basi siku zote sikuwahi kuwa na tumbo mara ghafla naona linafutuka hivyo nikaanza mazoezi ya tumbo. kumbe ngoja niache nifanye ya kuruka ruka zaidi kama kamba n.k. mpaka litakapopungua ndio nianze mazoezi ya tumbo Lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…