Tumbo kubwa..nilipunguze vipi? kwa njia ya vyakula lakini

Tumbo kubwa..nilipunguze vipi? kwa njia ya vyakula lakini

mi mazoezi yamenishinda..ndio maana nahitaji tu aina ya vyakula ninavyotakiwa kula
maji ya uvuguvugu nakunywa..

kuna mama mmoja alikuwa na tumbo na weigh balaa.....kutoka 104 kilo

sa hivi ana 84.ni mtu wa mazoezi yeye hali wali wala ugali.akila ni siku moja moja

ndizi za kuiva nazo hali.....asubuhi anapiga glass ya maji vuguvugu 4.chai hanywi akinywa haina sukari kihivo

yeye anakula matunda sana sana na mboga mboga....chips,vyakula vya kukaangwa mafuta mengi nazo sio poa

ana DIET yake nimemwomba kuna shoga angu nae anasumbuliwa na tumbo + uzito akinipa nitakupa
 
sa nikikimbia si nitapungua mwili wote ama?..maana lengo langu ni kupungua tumbo tu..chips nimeacha japo ni ngumu yani..
Kukimbia ndio solution mkuu, kimbia atleast mara4 kwa week and kula kwa format hii 3-1-2-1 yani siku tatu unakula according to diet then moja unajiachia kidogo hapo unakula chips na soda kidogo then 2 unafuata diet moja inayofuata unajiachia kidogo. Unajiachia kidogo sio sana
 
asante sana in advance...ila jamani ugali ninavoupenda..itaniuma kuuacha
kuna mama mmoja alikuwa na tumbo na weigh balaa.....kutoka 104 kilo

sa hivi ana 84.ni mtu wa mazoezi yeye hali wali wala ugali.akila ni siku moja moja

ndizi za kuiva nazo hali.....asubuhi anapiga glass ya maji vuguvugu 4.chai hanywi akinywa haina sukari kihivo

yeye anakula matunda sana sana na mboga mboga....chips,vyakula vya kukaangwa mafuta mengi nazo sio poa

ana DIET yake nimemwomba kuna shoga angu nae anasumbuliwa na tumbo + uzito akinipa nitakupa
 
Last edited by a moderator:
asante sana..nitaanza leo kula mbogamboga usiku..
Alichokuambia NGULI ndicho cha kufanya; ukipunguza carbs (kifupi cha carbohydrates) mwili utaunguza mafuta yaliyopo tumboni ili kupata nishati ya kuendesha mwili na hivyo tumbo litapungua with time. Asubuhi unakula kiasi kwakuwa mchana kutwa chakula kitasagwa ila epuka wanga sana, usiku usile kabisa zaidi ya mboga za majani na matunda ambavyo havina sana carbs kwa kuwa hautaunguza sana. Kuhusu mazoezi si mtaalamu ila again ushauri wa Nguli makes a lot of sense.
 
sinywi bia..,kitimoto mara moja moja sana..chips nilikua nakula sana lakini nimeacha.. Asprin hayo mafungo nitafunga kia siku jaman?
mwallu hapo Parokiani hamna mafungo. Kama hamna mafungo jitahidi ufunge, ukeshe kwa kusali. Dawa ya kupunguza kitambi ni kupunguza kula hasa usiku.

Vipi bia unakunywa?
 
Last edited by a moderator:
Kwanza pongezi kwa kugundua kuwa una ugonjwa. Tumbo ni ugonjwa na lina sababisha uzee kwa kasi ya ajabu. Punguza wanga asubuhi kula ushibe mchana kula kidogo na jioni usile kabisa kula matunda tu na ulale. Mazoezi fanya mazoezi ya kukimbia au kutembea kwa miezi 6 tena asubuhi tu. Likishapungua ndip uanze mazoezi ya tumbo.
du basi siku zote sikuwahi kuwa na tumbo mara ghafla naona linafutuka hivyo nikaanza mazoezi ya tumbo. kumbe ngoja niache nifanye ya kuruka ruka zaidi kama kamba n.k. mpaka litakapopungua ndio nianze mazoezi ya tumbo Lol!
 
mie nilikua flat tumboni mpaka nilikua naulizwa kama hua nakula..saiv..aarrgghhh..hata sare za utawani hazikai poa yani
du basi siku zote sikuwahi kuwa na tumbo mara ghafla naona linafutuka hivyo nikaanza mazoezi ya tumbo. kumbe ngoja niache nifanye ya kuruka ruka zaidi kama kamba n.k. mpaka litakapopungua ndio nianze mazoezi ya tumbo Lol!
 
Back
Top Bottom