Nami nakubaliana na wewe Tanzania tuna Tume Bora kabisa ya uchaguzi tatizo letu watanzania tunaendeshwa na matamko ya wanasiasa yasiyo na nia njema.Naunga mkono hoja
Naomba mtujuze wengine, kuna nini kwani kinaendelea baasa ya matokeo kutangazwa?!!!Nami nakubaliana na wewe Tanzania tuna Tume Bora kabisa ya uchaguzi tatizo letu watanzania tunaendeshwa na matamko ya wanasiasa ...
Makamishina watatu wa Tume huru ya uchaguzi wamedundwa ukumbimi na Wajumbe wenye hasira kaliNaomba mtujuze wengine, kuna nini kwani kinaendelea baasa ya matokeo kutangazwa?!!!
Aisee, nilikuwa sijalipata hili. Tuombe Mungu hali hiyo isishuke chini kwa raia, litakuwa balaa si dogo.Makamishina watatu wa Tume huru ya uchaguzi wamedundwa ukumbimi na Wajumbe wenye hasira kali
Una muabisha baba ako we mtoto.Huwa siamini hata kidogo kama upo uwezekano wa kupata tume huru ya uchaguzi kwa namna kama Kenya walivyofanya; au hata Zanzibar walivyowahi kufanya. Kwa kilichotokea Kenya kupitia baadhi ya wajumbe kuyakana matokeo ya kazi yao natangaza kuwa Tanzania tuna tume bora na huru ya uchaguzi
Tume ya kutangaza kushinda bila kupingwa ndio tume yako bora! Sawa kila mja ana mtazamo wakeNami nakubaliana na wewe Tanzania tuna Tume Bora kabisa ya uchaguzi tatizo letu watanzania tunaendeshwa na matamko ya wanasiasa yasiyo na nia njema tunapaswa kuamini kuwa hakuna Viongozi wanaopenda nchi zao ziwe na machafuko ndio maana kila jambo Lina msemaji wake tukiacha kila mtu ajisemee lolote analotaka kama walivyofanya Kenya kwenye uchaguzi kwamba kila mtu anakua na matokeo yake si salama kwa Taifa. Sipingi kuwa tunahitaji uwazi kwenye uchaguzi au Kenya wamefanya vibaya lakini Kuna mambo mengine ni ya kuyaangalia mapema nini matokeo yake kabla ya kuruhusu kufanyika tatizo linalotokea Sasa hivi Kenya ni matokeo ya kuruhusu kila mtu kuwa na msemaji na kuwa na matokeo yake kila mtu ameenda kwenye ukumbi wa Bomas na matokeo yake mfukoni.
Uko serious au unatania[emoji850]?Huwa siamini hata kidogo kama upo uwezekano wa kupata tume huru ya uchaguzi kwa namna kama Kenya walivyofanya; au hata Zanzibar walivyowahi kufanya. Kwa kilichotokea Kenya kupitia baadhi ya wajumbe kuyakana matokeo ya kazi yao natangaza kuwa Tanzania tuna tume bora na huru ya uchaguzi
Aisee ,NCHI ya watu wa ajabu Sana..[emoji1787]ETI huyu nae akirudi nyumban anaitwa BABA[emoji1787]Chadema waliokuwa wanasema Kenya kuna tume huru ya uchaguzi sijui watasema nini tena kuhusu yale yaliyotokea ukumbini
Wanetu wananiita baba, wewe unaniita mume.Aisee ,NCHI ya watu wa ajabu Sana..[emoji1787]ETI huyu nae akirudi nyumban anaitwa BABA[emoji1787]
Unga tuNaunga mkono hoja
Chadema bhana, vyama vingi c vimeanza 1995 sasa hy miaka 60 imefikaje.? Bogus wwAcheni kuwaonea wivu Wakenya na demokrasia yao. Sisi tujilaumu wenyewe kwa kukubali kuburuzwa na chama kimoja miaka 60.
Mbuluma wako wengi.Nami nakubaliana na wewe Tanzania tuna Tume Bora kabisa ya uchaguzi tatizo letu watanzania tunaendeshwa na matamko ya wanasiasa yasiyo na nia njema tunapaswa kuamini kuwa hakuna Viongozi wanaopenda nchi zao ziwe na machafuko ndio maana kila jambo Lina msemaji wake tukiacha kila mtu ajisemee lolote analotaka kama walivyofanya Kenya kwenye uchaguzi kwamba kila mtu anakua na matokeo yake si salama kwa Taifa. Sipingi kuwa tunahitaji uwazi kwenye uchaguzi au Kenya wamefanya vibaya lakini Kuna mambo mengine ni ya kuyaangalia mapema nini matokeo yake kabla ya kuruhusu kufanyika tatizo linalotokea Sasa hivi Kenya ni matokeo ya kuruhusu kila mtu kuwa na msemaji na kuwa na matokeo yake kila mtu ameenda kwenye ukumbi wa Bomas na matokeo yake mfukoni.
Chadema bhana, vyama vingi c vimeanza 1995 sasa hy miaka 60 imefikaje.? Bogus ww