Tume Huru ya Uchaguzi imemebaki Tume ya Uchaguzi ya Tanzania

Tume Huru ya Uchaguzi imemebaki Tume ya Uchaguzi ya Tanzania

Bado tume ya uchaguzi Kenya ni Bora mara elfu kwa hii ya Tanzania.Labda hujafuatilia mchakato mzima Wa uchaguzi ulivyoenda tangu mwanzo. Maneno ya utangulizi ya Chebukati Mwenyekiti Wa tume uliyasikiliza vizuri?Ameeleza wazi kuwa Kuna vitisho vilifanyika ili kubadilisha matokeo lakini yeye amesimamia kiapo chake.
 
Huwa siamini hata kidogo kama upo uwezekano wa kupata tume huru ya uchaguzi kwa namna kama Kenya walivyofanya; au hata Zanzibar walivyowahi kufanya. Kwa kilichotokea Kenya kupitia baadhi ya wajumbe kuyakana matokeo ya kazi yao natangaza kuwa Tanzania tuna tume bora na huru ya uchaguzi

Tanzania hakuna tume huru ya uchaguzi. Wajumbe wake wanateuliwa kwa lengo la kuhakikisha CCM inashinda sio kuendesha uchaguzi huru na wa haki.

Wajumbe wa IEBC kugawanyika na wake wanne kujitoa katika hatua ya kutangaza matokeo hakuifanyi tume ya Tanzania kuwa huru.

IIEBC ilikuwa inahakiki tu matokeo; matokeo yalikuwa kwenye vituo vya kupigia kura. Hao wajumbe hadi sasa hawajatoa sababu na ushahidi wa kasoro za IEBC , hao waliojitoa wanaweza kuwa wamejitoa sababu ya ushabiki wao kwa Raila ili kumtengenezea mazingira mazuri ya kulalamika. Pia kenya matokeo yanaruhusiwa kupingwa mahakamani ambako ukweli wote unawekwa wazi tena uamuzi unatolewa ndani ya siku 14 tu.
 
As far as, Mkurugenzi mkuu wa Tume ya uchaguzi anachaguliwa na Raisi alie madarakani basi hakuna Tume huru ya uchaguzi hapo...

Tusijidanganye

Tafakari
 
As far as, Mkurugenzi mkuu wa Tume ya uchaguzi anachaguliwa na Raisi alie madarakani basi hakuna Tume huru ya uchaguzi hapo...

Tusijidanganye

Tafakari
Yaani kwa sababu wewe umezaliwa na baba na mama yako basi wewe si mtu?
 
Huwa siamini hata kidogo kama upo uwezekano wa kupata tume huru ya uchaguzi kwa namna kama Kenya walivyofanya; au hata Zanzibar walivyowahi kufanya. Kwa kilichotokea Kenya kupitia baadhi ya wajumbe kuyakana matokeo ya kazi yao natangaza kuwa Tanzania tuna tume bora na huru ya uchaguzi


Rubbish, tume huru ya kuiba kura? Was the last general election free and fair? Acha kuandika upumbavu wa vijiweni
 
Back
Top Bottom