Tume Huru ya Uchaguzi imemebaki Tume ya Uchaguzi ya Tanzania

Bado tume ya uchaguzi Kenya ni Bora mara elfu kwa hii ya Tanzania.Labda hujafuatilia mchakato mzima Wa uchaguzi ulivyoenda tangu mwanzo. Maneno ya utangulizi ya Chebukati Mwenyekiti Wa tume uliyasikiliza vizuri?Ameeleza wazi kuwa Kuna vitisho vilifanyika ili kubadilisha matokeo lakini yeye amesimamia kiapo chake.
 
Hii nchi ina kituko kimoja kinaitwa tume ya uchafuzi.
Picha linaanza tu watu maarufu wanaanza kupita bila kupingwa
 
Tanzania hakuna tume huru ya uchaguzi. Wajumbe wake wanateuliwa kwa lengo la kuhakikisha CCM inashinda sio kuendesha uchaguzi huru na wa haki.

Wajumbe wa IEBC kugawanyika na wake wanne kujitoa katika hatua ya kutangaza matokeo hakuifanyi tume ya Tanzania kuwa huru.

IIEBC ilikuwa inahakiki tu matokeo; matokeo yalikuwa kwenye vituo vya kupigia kura. Hao wajumbe hadi sasa hawajatoa sababu na ushahidi wa kasoro za IEBC , hao waliojitoa wanaweza kuwa wamejitoa sababu ya ushabiki wao kwa Raila ili kumtengenezea mazingira mazuri ya kulalamika. Pia kenya matokeo yanaruhusiwa kupingwa mahakamani ambako ukweli wote unawekwa wazi tena uamuzi unatolewa ndani ya siku 14 tu.
 
As far as, Mkurugenzi mkuu wa Tume ya uchaguzi anachaguliwa na Raisi alie madarakani basi hakuna Tume huru ya uchaguzi hapo...

Tusijidanganye

Tafakari
 
As far as, Mkurugenzi mkuu wa Tume ya uchaguzi anachaguliwa na Raisi alie madarakani basi hakuna Tume huru ya uchaguzi hapo...

Tusijidanganye

Tafakari
Yaani kwa sababu wewe umezaliwa na baba na mama yako basi wewe si mtu?
 

Rubbish, tume huru ya kuiba kura? Was the last general election free and fair? Acha kuandika upumbavu wa vijiweni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…