Tume Huru ya Uchaguzi imemebaki Tume ya Uchaguzi ya Tanzania

Kweli uumbaji wa Mungu hauna makosa. Tumwache Mungu aliyekuumba Zuzu aitwe Mungu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hovyo kabisaa,naisikitikia Sana familia YAKO,Inaongozwa na MTU WA HOVYO KABISAA[emoji23][emoji23]
Panua domo nikumwagie genye umeze
 
Yaani kwa sababu wewe umezaliwa na baba na mama yako basi wewe si mtu?
Acha ubabaishaji,unajua nini nakiongelea..

Waswahili wanamsemo unaosema "Mwizi Msomali hakimu Msomali haki itapatikanaje?".

Katiba mpya ndio jibu la matatizo yote ya kisiasa Tanzania
 
upuuzi
 
Siasa ni biashara kila Mtu anavutia upande wake
Sisi tubaki watazamaji
 
Tume huru kama ya Kenya itapowasili Tz, Wale waliotuambia tuhamie Burundi, watatangulia wao.

No Tume huru ya uchaguzi, No uchaguzi,

No KATIBA mpya no UCHAGUZI.

Ameeeen.
 
Acha ubabaishaji,unajua nini nakiongelea..

Waswahili wanamsemo unaosema "Mwizi Msomali hakimu Msomali haki itapatikanaje?".

Katiba mpya ndio jibu la matatizo yote ya kisiasa Tanzania
Mkuu Kuna msemo unasema" fisi akiwa hakimu,mbuzi Hana HAKI" nakubaliana nawe
 
Kikubwa ni ukweli wa matokeo sio kila mtu kujisemea. Kama ukweli upo kuna ubaya gani kila mtu kujisemea?Kuna watu wanataka kubariki mambo machafu yafanyikayo Tanzania just bcoz wanamaslahi..
 
Tume huru kama ya Kenya itapowasili Tz, Wale waliotuambia tuhamie Burundi, watatangulia wao.

No Tume huru ya uchaguzi, No uchaguzi,

No KATIBA mpya no UCHAGUZI.

Ameeeen.
utakuwa una Bet
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…