William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Thread starter
-
- #41
Hivi ulishaisoma Sheria ya Mabadiliko ya Katiba [Sura ya 83 Toleo la mwaka 2012] na kujiuliza maswali kuhusu maana ya kipengele cha 8(2) na pia kipengele cha 10 ambapo sahihi ya Mwenyekiti wako Taifa ameiridhia na sasa inatumika kama sheria.
Nguvu hizo za Tume ya Jaji Warioba unazozipigia kelele pamoja na mambo mengine zinatoka hapa,
Siwezi kuacha watu kama wewe walete upotoshaji kisa nionekane mweupe! Nitapambana na wewe kila utakapo jaribu kupotosha wengine. Wewe ni nani ututolee amri kuwa tume iondoke kwa kuwa inakula kodi zetu. Wewe unalipa kodi?
- ha! ha! ha! tume imekosa muelekeo toka siku nyingi sana inajiingiza kwenye media kutafuta nini? Ni tume gani Duniani umewahi kuisikia inatakiwa kukusanya maoni lakini yenyewe inaaanza malumbano na walioichagua sijawahi kusikia ndio maana nasema hii tume ni useless, vipi una maoni gani on that? ha1 ha! ha!
Le Mutuz
Anadhani baba yake alikosa urais kwasababu ya Warioba na Butiku kumchongea kwa Mwl. Nyerere!
Sijui unaongelea dunia ipi....tume duniani kote haziundwi ili kukidhi matakwa ya wanaoziunda au serikali bali matakwa ya umma....na ni lazima ziende kwenye media ili umma ujue kinachoendelea.....wewe umezoea mambo yenu ya under the camera...its a different world now!
We kijana naona uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sasa, hesabu zako unafikiri wabunge wenu ni misukule ya kutumwa kufanya kila mnachokipenda wewe na Nape. Kwanza nataka nikujulishe kwamba, Katiba ni ya wananchi si ya Chama cha siasa, kama ingekuwa ni wingi wa wabunge ndo utungaji wa katiba basi Gadaffi asingeng'olewa madarakani, kama chama cha siasa ndo chenye katiba ya nchi basi CCM inekuwa na wanachama milioni 2o kwa kuwa ingekuwa ni kutangaza asubuhi moja tu kwamba sisi tuliowengi tumesema kila Mtanzania mwenye uwezo na sifa za kupiga kura ni mwanachama wa CCM, kama kweli kwa uelewa uliouonesha ingekuwa sahihi hata tume isingeundwa kwa sababu kwanza katiba mpya haikuwa agenda ya CCM lakini kwa utashi wa kiongozi mmoja tu aliyeona mbali na mwenye mapenzi mema na nchi hii nazungumzia Jakaya M. Kikwete akatamka wote mkafyata mikia mithili ya mbwa koko, mkaanza kupigishana kelele kwenye mabaraza ya Katiba wakati haikuwa agenda yenu, huoni kama kusema idadi ya wabunge ndiyo determinant unataka kuuaminisha umma wa Tanzania kwamba wabunge wenu ni mbumbumbu wakati kwa imani yangu kuna watu ambao wanajua kuna mambo yamekwama na wangependa yakwamuliwe bila kuwa nje ya CCM? kwa idadi ya wnanchama na idadi ya madiwani basi Myinka asingekuwa mbunge wa ubungo!!! kama kweli unaweza kupiga mahesabu vizuri Msigwa asingekuwa mbunge wa Iringa mjini. Kama tatizo lako ni bangi za kuvutia baharini nashauri uende ukatibiwe.- Nah! sina sababu ya kumshoot down aliyeunda tume kwa sababu ametumia katiba, na so far hajakosea ninataka katiba mpya lakini inayofuata Sheria ya kuibadilisha ambayo ipo wazi sana ndio ninasema Wapinzani ombeni kuahirishwa kwa hili zoezi la katiba mpya maana time is not on your side now hata ianguke mvua ya mawe ni CCM yenye Wabunge wengi bungeni ndio itakayokuwa na haki kisheria kuamua katiba iwe vipi,
- NI USHAURI WA BURE TU SUBIRINI MPAKA MUWE NA WABUNGE WENGI BUNGENI SASA HAMNA NAMBA ZA KUTOSHA KUBADILISKA KATIBA AS U WANT!!
LE Mutuz
- Tume zinaenda kwenye media baada ya kukabidhi ripoti sio kabla, labda nitajie tume moja iliyowahi kulumbana na walioichagua kabla ya kukabidhi ripoti yake iliyotumwa, pole sana vipi umechoka kuandika matusi yako ya kitoto? ha! ha! ha!
Le Mutuz
Hivi we kibonge huwa zinakutosha au umezidiwa na mwili?- Big nah! hawa tume ya Katiba wamegeuka kuwa opposition Institution ndani ya Serikali, wasiongezewe muda ni muhimu sana wakaondolewa hata leo kwa sababu tayari walishaamua mapema sana matokeo kabla hata ya kukusanya maoni kama walivyotakiwa na Sheria iliyowaunda. Nimeshuhudia kwa macho na masikio yangu nikiwa Moshi kwenye mkutano wa Tume hii na wananchi, Mjumbe wa Tume hii Butiku akiwakaripia wananchi kwamba Serikali tatu haina mjadala tena imeshapita, wananchi walipomjia juu akasema kwamba hana muda wa kusikiliza tena maana hiyo hoja tayari imeshapita, hivi hii tume ni kweli iliundwa kulazimisha wananchi hoja au maoni yao?
- Tume imejitwika madaraka makubwa mno ya kutengeneza maoni ya wananchi badala ya kusikiliza maoni ya wananchi, kama tume ina tatizo na maoni ya wananchi kuwa sio yao basi ingeandika kwenye majumuisho kwamba ina wasi wasi maoni mengi ya wananchi hayakuwa yao yalikuwa ni ya vyama vya siasa kwa sababu vyama vyote vya siasa nchini vinahusika na kuwapiga msasa wananchama wake kuhusu interest za vyama vyao kwenye katiba mpya wala sio siri. I mean kwa wajumbe wa Tume kuwakaripia wananchi wakitoa maoni yao kama nilivyoona Moshi na Singida, ni very clear kwamba Tume ilishapoteza uhalali wake kisheria siku nyingi sana.
- sijawahi kuona Tume ya kukusanya maoni tu, ipo kwenye media kila siku wajumbe wa tume wanaongea na media almost kila wakati WHY? Kazi yao ni kukusanya maoni tu sasa kwenye media wanatafuta nini? Wajumbe wa Tume wameingia mpaka kwenye malumbano na wanasiasa WHY? Kazi yao si ilikuwa kukusanya maoni tu ya wananchi, mbone tume zingine zilizopita hatukuwasikia kwenye media mpaka walipofikia kutoa ripoti tu, hii tume ya Katiba imepata wapi haya mamlaka mazito ya mpaka kukemea wananchi kuhusu maoni yao binafsi kwenye mikutano yake?
- The more wanavyozidi kuwepo ni more wanavyozidi kutuchanganya na kutugawa wananchi kwa sababu wanapenda sana media, nilijua muda hautawatosha maana kila wakati wapo kwenye malumbano na wanasiasa kwenye media sasa muda wa kuchambua maoni watautoa wapi? Nasema hivi Ikulu isiwape muda zaidi maana hii tume ni useless na ni waste, I mean katika kutembelea Dunia nzima as I have done except nchi 10 tu sijawahi kusikia tume inayokusanya maoni ya wananchi inalumbana na na walioituma kabla ya kuwasilisha ripoti yake, kwa kawaida huwa kunakuwa na malumbano baada ya kuwasilisha sio in the process ya kukusanya maoni, ndio ninasema hii ni tume iondolewe now inapotesa muda bure na mapesa ya wananchi, haifai kwa sababu ina wajumbe waliokwisha amua mapema sana maamuzi yao yawe ya wananchi na huku wakijua wazi kwamba ni against the law!
- HII TUME WANATUVURUGA VICHWA BURE WANANCHI IONDOLEWE NOW NA ISIONGEZEWE MUDA KABISA KWA SABABU TAYARI MWANANCHI KAMA MIMI NAJUA MATOKEO YA UCHAMBUZI WAO UTAKUWA NI NINI KUTOKANA NA MANENO YAO MENGI SANA KWENYE MEDIA NA MIKUTANO YAO, SO WAPO COMPROMISE HAWAFAI! NA NASHAURI IN THE FUTURE TUME KAMA HIZI WAPIGWE MARUFUKU KUONGEA NA MEDIA AU KUWEKA MAONI YAO KWA WANANCHI!!
- KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!
Le Big Shoow - The King Of All Bongo Network Social Media@ Blogu ya Wananchi.
We kijana naona uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sasa, hesabu zako unafikiri wabunge wenu ni misukule ya kutumwa kufanya kila mnachokipenda wewe na Nape.
Kila tume ina hadidu rejea zake, labda tuanzie hapo, na sijui kama unajua Tume hii hadidu rejea zake ni zipi pasi kuizuia kwenda kwenye media. Kukuchambua nafsi yako sio utoto bali kuwaelimisha wasiokujua waelewe wewe ni mtu wa ain gani.....still a hopeless person to me!.....ila una mguu bomba sana!
Mkuu angalia vizuri kauli zako, kwa mujibu wa kamusi ya Kiswahili sanifu hakuna kijana mwenye umri wa miaka 55 popote duniani
We kijana naona uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sasa, hesabu zako unafikiri wabunge wenu ni misukule ya kutumwa kufanya kila mnachokipenda wewe na Nape. Kwanza nataka nikujulishe kwamba, Katiba ni ya wananchi si ya Chama cha siasa, kama ingekuwa ni wingi wa wabunge ndo utungaji wa katiba basi Gadaffi asingeng'olewa madarakani, kama chama cha siasa ndo chenye katiba ya nchi basi CCM inekuwa na wanachama milioni 2o kwa kuwa ingekuwa ni kutangaza asubuhi moja tu kwamba sisi tuliowengi tumesema kila Mtanzania mwenye uwezo na sifa za kupiga kura ni mwanachama wa CCM, kama kweli kwa uelewa uliouonesha ingekuwa sahihi hata tume isingeundwa kwa sababu kwanza katiba mpya haikuwa agenda ya CCM lakini kwa utashi wa kiongozi mmoja tu aliyeona mbali na mwenye mapenzi mema na nchi hii nazungumzia Jakaya M. Kikwete akatamka wote mkafyata mikia mithili ya mbwa koko, mkaanza kupigishana kelele kwenye mabaraza ya Katiba wakati haikuwa agenda yenu, huoni kama kusema idadi ya wabunge ndiyo determinant unataka kuuaminisha umma wa Tanzania kwamba wabunge wenu ni mbumbumbu wakati kwa imani yangu kuna watu ambao wanajua kuna mambo yamekwama na wangependa yakwamuliwe bila kuwa nje ya CCM? kwa idadi ya wnanchama na idadi ya madiwani basi Myinka asingekuwa mbunge wa ubungo!!! kama kweli unaweza kupiga mahesabu vizuri Msigwa asingekuwa mbunge wa Iringa mjini. Kama tatizo lako ni bangi za kuvutia baharini nashauri uende ukatibiwe.
- Sawa sawa mkuu ila sijaona Sheria yako inaposema Tume itawaamulia wananchi wakubali kwa nguvu Serikali tatu, na sijaona inaposema tume itakuwa kwenye media kulumbana na walioichagua, sijaona hayo naomba nonyeshe mkuu wangu!!
- Angalau wewe umejitahidi kujadili kwa hoja ingawa ni nje ya mstari anyways, lakini angalau!!
Le Mutuz
Yaani wewe jamaa ni mweupe na sina uhakika kama una uelewa wa kutosha kuhusu mada zako mwenyewe unazozianzisha,Ulianza kwa kumpinga Warioba kuhusu maombi yake kuongezewa muda na aliyemteuwa wewe ukaona kama anataka kujiongezea muda zaidi wa kula,Jamaa hapo juu akakujibu akikupa quotations za vifungu vya kisheria vinavyompa nafasi Warioba kuomba kuongezewa muda,Ukapigwa bao hapo na kukosa cha kujibu sasa unakimbilia kwenye mambo ya Muundo wa Serikali ya Muungano.Huna hoja kabisa unabwabwaja tu kama mlevi.
1. Hapo kwenye picha nilikuwa nimealikwa kwenye mashindano ya Miss Ukonga hapo ni Kiota Jungle, so si unajua mgeni wa heshima lazima kutoa speech, it was great event super sana I mean!
2. Hadidu rejea za tume zinairuhusu kuwakaripia wananchi na kuwaaamulia Serikali tatu kwa nguvu? Hadidu rejea zako zinawaruhusu kukimbilia media kila siku kulumbana na walioichagua? Hebu ziweke hapa hizo hadidu zako rejea kwanza ndio tutakuwa na mjadala supa sana.
3. Mimi hata siku moja siwezi kupoteza muda wangu na any person ambaye nime-conclude ni useless maana wenye akili wataniona na mimi ni useless, so kama sikosei wewe ni uselesss ndio maana una muda sana hata wa kuchunguza maisha ya a uselesss like me, ha1 ha! ha! ha!
- Next time fungua thread ya useless like me, ila hapa ni tume ya katiba kwanza ilivyo waste of our taxpayers money!!
Le Mutuz
Hivi ulishaisoma Sheria ya Mabadiliko ya Katiba [Sura ya 83 Toleo la mwaka 2012] na kujiuliza maswali kuhusu maana ya kipengele cha 8(2) na pia kipengele cha 10 ambapo sahihi ya Mwenyekiti wako Taifa ameiridhia na sasa inatumika kama sheria.
Nguvu hizo za Tume ya Jaji Warioba unazozipigia kelele pamoja na mambo mengine zinatoka hapa,
8.-(1) Hadidu za rejea za Tume zitakuwa kama zilivyoainishwa katika vifungu vya 9 na 17 vya Sheria hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1), Tume inaweza kushughulikia jambo lolote kama itakavyoona inafaa katika kutekeleza majukumu yake.
(3) Tume itakamilisha kazi yake ndani ya kipindi kisichozidi miezi kumi na nane kuanzia tarehe ya kuanza kazi.
(4) Endapo Tume itashindwa kukamilisha kazi yake ndani ya kipindi kilichoelezwa katika kifungu kidogo cha (3), Rais, kwa
makubaliano na Rais wa Zanzibar, anaweza kuongeza muda usiozidi miezi miwili ili kuiwezesha Tume kukamilisha na kuwasilisha ripoti.
9.-(1) Majukumu ya Tume yatakuwa ni-
(a) kuratibu na kukusanya maoni ya wananchi;
(b) kupitia na kutafiti usahihi na ulinganifu wa masharti ya kikatiba yanayohusu mamlaka ya wananchi, mifumo ya kisiasa, demokrasia, utawalawa sheria na utawala bora;
(c) kutoa mapendekezo kwa kila hadidu ya rejea; na
(d) kuandaa na kuwasilisha ripoti.
(2) Katika kutekeleza masharti ya kifungu kidogo cha
(1), Tume itaongozwa na misingi mikuu ya kitaifa na maadili ya jamii ya kuhifadhi na kudumisha mambo yafuatayo:
(a) kuwepo kwa Jamhuri ya Muungano;
(b) uwepo wa Serikali, Bunge na Mahakama;
(c) mfumo wa kiutawala wa kijamhuri;
(d) uwepo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar; (e) umoja wa kitaifa, amani na utulivu;
------ -----------------
10.Tume itakuwa na mamlaka na uhuru kwa kadri itakavyokuwa muhimu kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu na mamlaka yake chini ya Sheria hii na haitaingiliwa na mtu au mamlaka yoyote.
Imelumbana na Kikwete? nani aliyekwambia Tume ile imeundwa na CCM?- Tume zinaenda kwenye media baada ya kukabidhi ripoti sio kabla, labda nitajie tume moja iliyowahi kulumbana na walioichagua kabla ya kukabidhi ripoti yake iliyotumwa, pole sana vipi umechoka kuandika matusi yako ya kitoto? ha! ha! ha!
Le Mutuz
Kumbe sometimes akili huwa zinakurudi, Tanzania Kwanza ndio habari ya mjiniMimi nadhani unapigana na giza!.
Utamaliza risasi zako za kisiasa bure wakati adui siyo Tume ya Jaji Warioba bali yule aliyeiweka hiyo tume ambaye unfortunate, ni Mwenyekiti wako wa chama Taifa. You better start shooting him down (Rais Kikwete) kwa sababu anawachanganya kimawazo na kimtazamo watu kama wewe ambazo siasa zenu niza mlengo wa confrontation politics!.
Kama huwezi kum-shoot down Mwenyekiti wako wa taifa basi spare the bullets ili uzitumie wakati wa kura za maoni ya katiba. Wahamasishe wanachama wako waikatae rasimu ya katiba mpya kwenye kura za maoni badala ya kupiga kelele barabarani bila targeted audience.
You are missing a political opportunity wakati time is money!.
Hadidu rejea hizi hapa.......again una mguu mzuri sana !