Tume ya Katiba Iondoke Sasa Isiongezewe Muda ni Kupoteza Kodi za Wananchi Bure!!

Tume ya Katiba Iondoke Sasa Isiongezewe Muda ni Kupoteza Kodi za Wananchi Bure!!

malecela angekuwa mwenyekiti wa tume angelilia atolewe kama hivi.babake mwenyewe alioa kipindi cha kuwania uraisi baada ya kuitwa mhuni.kaacha kuchukua bakuli akakaa mnazi mmoja kudumisha kipaji cha kabila anataka uraisi.
mkuu, kinachomsumbua huyu jamaa ni wivu na chuki kwa warioba na si kingine.
 
Naona katiba mpya inawapa wehu magamba.maoni yaliyo kwenye rasimu ni maoni ya wananchi wazalendo na sio ninyi wezi mnaoota kuendelea kuwanyonya maskini wa taifa hili kupitia katiba mnayoitaka.watz maslahi tumbo mmebaki wachache sana.Nakushauri achana na kupinga maoni ya wengi ambayo kimsingi ni sauti ya Mungu uendelee tu kutumbua pesa alizohongwa babayo ili asilimishwe.
 
Sielewi ni kwa nini CCM inapinga uwepo wa Serikali tatu.

Kwa namna rasimu ilivyo najua kuna watu wanatamani Warioba afe hata leo.

Ninachoamini ni kuwa Warioba ameweka kwenye rasimu maoni ya Watanzania.

Na ndio maana hakukua na upinzani wowote kwenye rasimu mara tu ilipotangazwa.

Suala la muda kuongezwa ni la msingi sana kwa mustakabali wa Taifa
 
Ila katika hili LeMutuz siamini unawakailisha maoni ya wana CCM walio wengi bali unawakilisha mawazo ya wahafidhina wachache wasoitaka mabadiliko katika nchi hii. Taabu yenu kubwa ni kwa kuwa Rasimu ile iliyopendekezwa na wananchi nakutolewa na Tume inapendekeza mabadiliko chanya makubwa sana katika nyanja zote za utawala na uongozi wa taifa letu kwa miaka mingi ijayo kinyume na wote wasiopenda mabadiliko kwa kuhofia kukatwa mirija yao!
 
Mkuu huyu jamaa ana laana ya kutelekeza familia ikiwa na watoto wanne kule USA. Kaja hapa anashinda na vimalaya vya Bongo movie tu, baba zima linakimbizana na akina Lulu. Huyu Lulu kwake ni mjukuu. Maana lina miaka 55+.

- ha! ha! kwanza sina watoto 4 na besides fungua thread inayonihusu, Katibu wako wa Taifa ameacha mke na sasa anagombea mke wa mtu, so tumia akili kidogo unapoamua kuongelea mambo yasiyohusu maana huenda unajicheka mwenyewe, afadhali ya kukimbizana na kila lulu single babes kuliko mke wa mtu kwenda naye mahakamani, ha! ha! ha!

LE Mutuz
 
- Nah! sina sababu ya kumshoot down aliyeunda tume kwa sababu ametumia katiba, na so far hajakosea ninataka katiba mpya lakini inayofuata Sheria ya kuibadilisha ambayo ipo wazi sana ndio ninasema Wapinzani ombeni kuahirishwa kwa hili zoezi la katiba mpya maana time is not on your side now hata ianguke mvua ya mawe ni CCM yenye Wabunge wengi bungeni ndio itakayokuwa na haki kisheria kuamua katiba iwe vipi,

- NI USHAURI WA BURE TU SUBIRINI MPAKA MUWE NA WABUNGE WENGI BUNGENI SASA HAMNA NAMBA ZA KUTOSHA KUBADILISKA KATIBA AS U WANT!!

LE Mutuz
Watanzania walishaona katiba nzuri ya kulinda maslai ya watanzani miaka 50 ijayo haiwezi kutokana na wingi wa wabunge wa maccm.

Kwa bahati mbaya hawasimamii na hawana mpango wa kusimamia maslai ya watanzania hao. Chamsingi ni kusikiliza watanzania wengi wanasemaje na si wabunge wengi wanasema nini. Kinyume na hapo mnawasha moto mtakao shindwa kuhuzima. hii Tanzania ni yetu sote.
 
Kwanza nianze na haka ka-signature kako. Sijui wewe ni king kwenye eneo gani. Maana mimi sijawai hata kutembelea hizo blogu zako. Poor signature!!

Pili, sijui unawasema wananchi gani. Mimi nadhani usema Tume ya Mzee Jaji Warioba inawachanganya CCM na Vibaraka wake. Na sijui ulitaka Tume ikae kimya wakati kuna vijiwanasiasa vinatoa maneno ya uchochezi kwenye mikutano ya siasa kama yule Bulembo sijui.

- Ok lakini leo umetembelea mawazo yangu hapa, na sijasema kuwa nina blog wewe umejuaje kuwa nina blog? ha! ha1 ha! ha!

- Nimewasikia mwenyewe kwa masikio yangu wajumbe wa tume Moshi na Singida wakiwakaripia wananchi kwamba Serikali tatu ni lazima, pole sana! ha! ha!

Le Mutuz
 
Watanzania walishaona katiba nzuri ya kulinda maslai ya watanzani miaka 50 ijayo haiwezi kutokana na wingi wa wabunge wa maccm.

Kwa bahati mbaya hawasimamii na hawana mpango wa kusimamia maslai ya watanzania hao. Chamsingi ni kusikiliza watanzania wengi wanasemaje na si wabunge wengi wanasema nini. Kinyume na hapo mnawasha moto mtakao shindwa kuhuzima. hii Tanzania ni yetu sote.

- Sio tume wala Chadema inayowakilisha wananchi wengi wa Tanzania ila ni CCM tu, you have my respect kwa sababu angalau umejaribu kuongea hoja ingawa ni njiwa sana hazina mashiko kabisaaa!!

LE Mutuz
 
- hamna bifu hapa baby hapa ni itikadi tu, and I love wananchi wote mburulazzzz against Le Big Show bring it on! ha1 ha! wananchi wengi uwezo wa kufikiri njiwa tuliza boli wewe! ha! ha1 ha!

Le Mutuz

Malezi ya mm wa kambo tabu kweli!
 
Le Mutuz
Katiba inatengenezwa na wananchi wote na sio BUNGE;mentality kuwa katiba itatengenezwa na Bunge iachwe haraka!

USA kwa mfano wakati wanatengeneza katoba yao wanasiasa walikuwa % 8 ya wajumbe wote !

Bunge litatumika kuipitisha tu katiba sio kuitengeneza!

- Mkuu wacha kuongelea usiyajua ongelea unayoyajua haya ya USA huyajui ungeyajua basi usingeandika hizi nyepesi nyepesi, ha1 ha! ha!

Le Mutuz
 
mkuu, kinachomsumbua huyu jamaa ni wivu na chuki kwa warioba na si kingine.

- ha! ha! ha! ha! hapana huwa siogopi ishu always ishu yoyote nakupa msimamo wangu kama huupendi too bad lakini umeusoma live na rangi zake!! ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
Ukweli ni kwamba wewe na wenzako ndani ya ccm kuikubali ama kutoikubali Tume ya Katiba hakumsaidii mtu yeyote anayeujua ukweli wa dhiki, shida na kero zinazotokana na mapungufu yaliyomo kwenye katiba tuliyo nayo sasa. Wananchi wamechoka kuona wanaendelea kuishi maisha yaliyojaa ufukara na yasiyo na mwelelekeo wala dira wakati watu wachache wanafaidika. Kero za wananchi sasa hivi ni kama jua la asubuhi, kila kukicha linachomoza. Kuanzia Lindi na Mtwara, kwenda Kigoma, Arusha na Manyara, Zanzibar ndiyo basi tena, juzi juzi tumesikia mpaka Dodoma wananchi wameandamana dhidi ya fisadi CDA. Kila wanapopita viongozi wa nchi (watawala) wanakutana na mabango na hata wananchi wakizuiwa kuonyesha mabango basi wanakutana na wananchi wanaowaeleza kuhusu shida zao! Kuanzia migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji, wananchi kunyang'anywa ardhi na wawekezaji, kukosa huduma muhimu kama afya, elimu, barabara, maji, umeme n.k. Suala la haki za binadamu zinavunjwa mchana kweupe na wanaozivunja wanalindwa mfano mzuri ni kauli ya Waziri Mkuu kusema 'wapigwe'. Suala la Muungano ambalo limeanza kuzungumziwa miaka mingi sana na walio madarakani wakajifanya wametia pamba masikioni hawasikii la mtu. Haya yote ni mapungufu yaliyomo kwenye katiba hii ya sasa!

Tufanyeje? Lazima tupate katiba mpya ambayo itakuwa dira ya kutuonyesha njia ya kutufikisha huko tuendako. Tuache kuongozana kama vipofu bali tunahitaji msaidizi angalau atakayekuwa macho yetu kwenye safari hii. Ndipo Tume hii iliposimamia. Kwa kuwa sasa inaonekana dhahiri ya kuwa zile kero za wananchi, hata kama si zote, zimeanza kumulikwa, na ukweli wa namna ya kuziondoa unaelekea kutafutwa, lazima kuna watu kama wewe na wenzako ndani ya chama na serikali ambao mnapata kizunguzungu na hofu kuu. Kwamba sasa ile 'mirija' aliyoikata Mwalimu ambayo mliweza kuiunga upya sasa inaelekea kuwa na uwezekano wa kukatwa upya. Huenda sasa katiba mpya ikipatikana basi si 'mirija' tu itakayokatwa, bali hata mizizi yote ya unyonyaji itang'olewa, ili matunda ya Tanzania huru yaweze kufaidiwa na kila mtanzania, na si yule tu ambaye ana baba, mjomba, shemeji, mume ama mke aliye kwenye sehemu yenye nafasi ya kuwanyonya wananchi.

Ukweli unawauma na unawatisha. Siku zenu zinahesabika. Waeleze wenzako ya kwamba tunakuja, na tunaitaka nchi yetu!!!

Well said mkuu!

Sina tu jinsi ya kuweka like otherwise ningekugongea mkuu a big LIKE!
 
Duuh wewe jamaa kweli nimeamini hauko sawa hata kidogo.. Serious unachokizungumza hapa ni kile ambacho kimepata baraka za Mwenyekiti wako.. Hujui unapoishambulia Tume na Mwenyekiti wako nae hakwepi shutuma..? Hivi unajaribu ku-achieve nini hapa..?
 
Duuh wewe jamaa kweli nimeamini hauko sawa hata kidogo.. Serious unachokizungumza hapa ni kile ambacho kimepata baraka za Mwenyekiti wako.. Hujui unapoishambulia Tume na Mwenyekiti wako nae hakwepi shutuma..? Hivi unajaribu ku-achieve nini hapa..?

- Kwenye kuungana na chama mlichokiita cha mashoga mli-achieve nini mkuu au ni itikadi tu! ha! ha!

Le Mutuz
 
Mkuu pole sana inaonekana unahasira sana na tume lakini usifikiri tume ya kukusanya maoni ya katiba ni sawa ni vijitume ambavyo viliundwa na kupita ambavyo hata leo nyingi zao matokeo yamewekwa kwenye mashelve.
Kukusanya maoni tona ya katiba si kama net ya uvuvi inakusanya kila makokoro.

Niliudhuria kama mara mbili kwenye mkutano wa kukusanya maoni kitu ambacho nilijifunza amabacho watu watume wali note ni wachangiaji wengi walilishwa maneno hasa issuie ya muungano wengi wao kwakweli unaskia hata aibu kusikiliza hajui hata huo muungano ukoje hapo unapata picha huyu alilishwa kitu wasicho kijua tena bora angezungumza kitu anachokijua anapoteza muda na muungano na kwa mtazamo wengi wakajua ccm walijipanga kuwalisha watu wao maneno ya kuongea nadhani ilifikia mahali watu watume wakaona sasa ni kero analochongia mwanaidi na hassani, juma na na rajabu ni kele kile tena kwa kukariri.
 
- Kwenye kuungana na chama mlichokiita cha mashoga mli-achieve nini mkuu au ni itikadi tu! ha! ha!

Le Mutuz

Unaona.. Yaani hata unachokisema unashindwa kukitetea..! Ama kweli hasara sio mali au fedha peke yake..
 
- So na wewe una bifu na mimi kwa sababu gani? ha! ha! ha! ungemalizia kwanza! ha! ha!

Le Mutuz

mtu mwenye akili hawezi kuwa na bifu na wewe mchumia tumbo....ujue baba yako ana afadhali sana kuliko wewe na yule mzee anashindwa kukukana tu jinsi unavyomuhaibisha
 
Back
Top Bottom