- Thread starter
- #41
Huyu mzee hamna namna wanaweza kumwambia anyamaze??
Anyamaze vipi wakati wanatuona ma zombie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee hamna namna wanaweza kumwambia anyamaze??
Yaani Nchi nzima tunaonekana wajinga maana sasa kama Profesa wa Chuo Bora kabisa hapa nchini anaweza kuja na utafiti wa aina hiyo vipi sasa wale wa darasa la saba.Anyamaze vipi wakati wanatuona ma zombie?
Huko wanakokalia V8 za bure kwa kodi zetu zinawafanya walegee akili sasa wanatumia makalio yao kufikiria anadhani na sisi hadhira yake wote tunatumia makalio.Hivi Huyu jamaa na misuti yake haoni aibu? Hivi anadhani dunia ya Sasa Ni ile ya dhama zile, Nampa pole Sana.
Acha utoto banaKwi Kwi Kwi
Hii sababu ina mashiko....tuheshimu taaluma.Tulikuwa kwenye vinyesi 25kg na mkojo wa lita 21 kwa ng'ombe kwa siku, kana kwamba mtoni ndiko chooni kwao.
Sasa hivi tuko kwenye uozo:
View attachment 2165218
Tuko kimya siyo kuwa hatuoni.
Tuelewane:
"Vikwazo katiba mpya vinatukera zaidi."
Hii nchi tutafika tumechoka sana yan!
Hii sababu ina mashiko....tuheshimu taaluma.
Amefafanua ripoti ya awali.........vinyesi vya ng'ombe, mabaki ya wanyawa waliokufa na uchafu mwingine uliokuwa umejikusanya chini ya mto ulitibuliwa na mvua kubwa iliyonyesha huko hivyo kuchafua mto.Hatujajitahidi vilivyo kuheshimu taaluma?
Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara
Amefafanua ripoti ya awali.........vinyesi vya ng'ombe, mabaki ya wanyawa waliokufa na uchafu mwingine uliokuwa umejikusanya chini ya mto ulitibuliwa na mvua kubwa iliyonyesha huko hivyo kuchafua mto.
This is unprofessional reportTulikuwa kwenye vinyesi 25kg na mkojo wa lita 21 kwa ng'ombe kwa siku, kana kwamba mtoni ndiko chooni kwao.
Sasa hivi tuko kwenye uozo:
View attachment 2165218
Tuko kimya siyo kuwa hatuoni.
Tuelewane:
"Vikwazo katiba mpya vinatukera zaidi."