Tume ya Madini, tuambieni CPA ni nini kwenye initial za majina ya watumishi wenu

Umeeleza vizuri ila huo upuuzi wote mnaufanya watanzania hata leo mnaweza mkadai ualimu uwe professional. Tuanze TC JUMA LUKINDO au mkemia Chem RAJABU HARMONIZE. Eti Pharmacity NASIBU OMARY.

Ni upuuzi tu leo typo na CPA hata jina halina kionjo.
 
President Richard Nixon na President Gerard R. Ford walikuwa wanasheria. Kwenye utambulisho huwa waandikwa na LLB au J.D mwishoni kama ambavyo Diploma holder wa nchi moja anavyoitwa Dr. na kapewa mkononi?
 

Hawa ni Member wa National Association of State Boards of Accountancy (NASBA)..
Iliyopo Marekani wote ni CPA..na ni waajiriwa


Sijui kama unaswali Jingine

 
President Richard Nixon na President Gerard R. Ford walikuwa wanasheria. Kwenye utambulisho huwa waandikwa na LLB au J.D mwishoni kama ambavyo Diploma holder wa nchi moja anavyoitwa Dr. na kapewa mkononi?
Hili nimelijibu Mkuu..
Law Ni Qualification ila Advocate ni Proffesionalism..
So ukisoma sheria Huwezj kujitambulisha na preffix yyte..

HApo kwenye Kumsema mwenye Diploma Sipo maana hapendi kusemwa 🤣🤣
 
Bado inapendeza. Mambo Jambo, PhD. Hata Mambo Jambo, CPA inapendeza. Ila CPA Mambo Jambo hapana ipo kindezi sana.
Yeah Uko sawa kabisa na huo ndyo mfumo wa Marekani...
CHochote ulichokipata proffsionally kinakaa mwishoni mwa Jina na Sio Initial..
 
Hawa ni Member wa National Association of State Boards of Accountancy (NASBA)..
Iliyopo Marekani wote ni CPA..na ni waajiriwa


Sijui kama unaswali Jingine

View attachment 2965797

Wewe ndiye huelewi, kuandika CPA mwisho ni sawa. Siyo mwanzo.

Kitu ambacho huelewi nikuwa Ukiandika mwanzo inamaanisha title wakati Ukiandika mwisho inaonyesha qualifications.

Hatukatai mtu kuandika CPA, tunachopinga ni kuandika kama Title.
 
Wewe ndiye huelewi, kuandika CPA mwisho ni sawa. Siyo mwanzo.

Kitu ambacho huelewi nikuwa Ukiandika mwanzo inamaanisha title wakati Ukiandika mwisho inaonyesha qualifications.

Hatukatai mtu kuandika CPA, tunachopinga ni kuandika kama Title.
Tofauti ya title na qualification ni ipi. Tupe elimu mkuu.
 
Wewe ndiye huelewi, kuandika CPA mwisho ni sawa. Siyo mwanzo.

Kitu ambacho huelewi nikuwa Ukiandika mwanzo inamaanisha title wakati Ukiandika mwisho inaonyesha qualifications.

Hatukatai mtu kuandika CPA, tunachopinga ni kuandika kama Title.
Hili nimeshaljibu na pengine wewe ndo hukunielewa.na ndo maana Nilikutuma kwanza ukasome nilichoandika kwenye Post namba 10 na post zingine pia zilizofuata
 
Kitu chakutambulika nchi moja hata kenya hapo tu haijui
 
Hili nimeshaljibu na pengine wewe ndo hukunielewa.na ndo maana Nilikutuma kwanza ukasome nilichoandika kwenye Post namba 10 na post zingine pia zilizofuata

Nimesoma ndio maana nimekujibu hivyo. Acheni kutunga title zenu. Kama wewe siyo Dr. au Prof title yako ni Mr, Mrs au Ms period. Ukienda nchi nyingine na kujitambulisha CPA sijui Makalla hakuna atakayekuelewa sana sana watafikiri ni initials zako tu.
 
Hili nimelijibu Mkuu..
Law Ni Qualification ila Advocate ni Proffesionalism..
So ukisoma sheria Huwezj kujitambulisha na preffix yyte..

HApo kwenye Kumsema mwenye Diploma Sipo maana hapendi kusemwa 🤣🤣
Hapohapo Marekani walikuwepo majenerali zaidi ya watano ambao walikuwa marais. Hata General Dwight Eisenhower alitoka kuongoza Allied Forces WW2 akawa Rais. Na wote hao hakuna aliyekuwa anaitwa President General XXX
 
Hata sisi walimu tunaitwa Mwl. JK Nyerere, Mwl. Mimi hapa, Mwl. Mpwayungu. Etc

Kwahiyo na wao CPA (T) waache watambe, kupata CPA si mchezo jameni. Tena ma Eng. waacheni jamani watumie Eng.Ze dudu, madaktari kama Dr.Mambo Jambo.

Mi naona zisizo na umuhimu kutajwa tajwa ni zile honorary.
 
Hapohapo Marekani walikuwepo majenerali zaidi ya watano ambao walikuwa marais. Hata General Dwight Eisenhower alitoka kuongoza Allied Forces WW2 akawa Rais. Na wote hao hakuna aliyekuwa anaitwa President General XXX
UKishakuwa Rais Weww Tayari Ni CIC..
Sasa Unataka Cheo cha General cha Nini?
Idd Amini alikuwa General ila umewahi kuona akiandikwa General?

Kikwete alikuwa luteni kanali Umeona akiitwa Hivyo?
Kuna vyeo.Huisha ukitoka kwenye Kada husika (Ukivunja mkataba)
 
Nimgundua wengi wana wivu na wahasibu wenye wenye CPA sijui kwanini?
Tuwapongeze jamani badala ya kuwakatisha Tamaa🤣
 
Wewe jamaa uwezo wako wa kuchambua mambo uko chini sana. Hiyo CPA kama ni upuuzi fanya na wewe uipate.
Wewe ni mpumbavu sana we lijamaa kila sehemu unanifuatilia usinilinganishe mimi nawewe CHAWA MKUBWA WEWE. Hicho kichwa chako kingekua na akili ungekua unadhihirisha UCHAWA WAKO hadharani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…