Cicadulina
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 977
- 2,370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za upinzani ndugu izoSijaelewa, hizo rufaa ni wale walioondolewa kugombea kupitia vyama pinzani au walioachwa ccm ndo wamekata rufaa??
Asante!Za upinzani ndugu izo
Hii ina maanisha kuwa CCM waliwapinga wapinzani wote wakijua wote watahenguliwa ili wao wapite bila kupingwa
SijaelewaMuheza imetokea kotekote, imekubaliwa, imekataliwa.
Ule mkwara umesaidia sanaJamaa alikuwa ameshapanic anataka kujilipua. Afadhali hahahaha
Sasa ashindwe yeye tu
Kitila hana chake
NEC HAIJAWAHI MDHULUMU MTU INATENDA KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU
NEC haiaminikiNEC HAIJAWAHI MDHULUMU MTU INATENDA KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU
NakaziaWalau, NEC rudisheni wagombea wote watu wapambane. Hatuhitaji wabunge na madiwani wa tume, oneni aibu ni fedheha kwenu.