Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi yamrejesha Boniface Jacob jimbo la Ubungo

Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi yamrejesha Boniface Jacob jimbo la Ubungo

Cicadulina

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
977
Reaction score
2,370
1599752588285.png

1599752625786.png


1599769009161.png
 
Jimbo la Ubungo lina historia ya kuwa chini ya upinzani tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama bingo, kuanzia Massey wa CUF, JJ Mnyika wa CHADEMA na baadaye Saed Kubenea CHADEMA. Miaka yote ya uchaguzi CCM imekuwa ikifanya kila mbinu ili ilichukue lakini kila uchaguzi imekuwa ikizidiwa kimikakati na upinzani.

Ikumbukwe jimbo hilo linahusisha wasomi wa vyuo vikuu wengi kikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Ardhi, Maji na Chuo kikuu cha Sheria kilichopo Mawasiliano.

Wapiga kura wake wengi ni wenye uelewa ni vigumu kuwarubuni kwa kanga na kofia.

Tutegemee mchuano mkali.

=============

Matokeo ya Nyuma.

2015: Saed Kubenea CHADEMA kura 87,777, Dk. Didas MasaburiCCM kura 59,640.

2010: John Mnyika CHADEMA kura 66,742, Hawa Ngh’umbi CCM kura 50,544.

2005: Charles Keenja CCM.

2000: Hussein Mmasy CUF.
 
Back
Top Bottom