Kama ni hivyo mbona sasa Kitila Mkumbo ni mwenzao kwani alikuwa professa wa pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Si watamchagua msomi mwenzao badala ya huyo kilaza?Ikumbukwe jimbo hilo linahusisha wasomi wa vyuo vikuu wengi kikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Ardhi, Maji na Chuo kikuu cha Sheria kilichopo Mawasiliano.
Waligawanya fito, ACT ya Ubungo walitokea Ubungo Chadema.Atashinda kwa sababu CDM na ACT Wazalendo watagawana kura. Na kwa jinsi wanavyochukiana watatumia muda mrefu kushambuliana badala ya kumshambulia Kitila.
Amandla...
Kitila hana chake
nilitamani nec irudishe wote , tanzania kwanza vyama badae , hakuna sababu ya kuhumiza kichwa wakati wahajili wakuu ni wananchiNEC HAIJAWAHI MDHULUMU MTU INATENDA KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU
Leo kuna vikao vya usiku Lumumba kujadili nafasi ya kitilaKitila hana chake
unateseka ?Ila boniface kanenepa sana.
Humo humoooKitila hana chake
Warudishwe woteNEC HAIJAWAHI MDHULUMU MTU INATENDA KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU
Muheza imetokea kotekote, imekubaliwa, imekataliwa.
Wagombea wote waliotekwa na wapambe wa Majaliwa warejeshwe RuangwaWarudishwe wote
una hoja nzito sana .Tume ya Magufuli inajichanganya maana kinachofanyika na UHUNI mtupu. Mbona hatuoni WAGOMBEA WA CCM KUENGULIWA??
Tusiwasikie mnasema mmeibiwa kura.Jimbo la Ubungo lina historia ya kuwa chini ya upinzani tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama bingo, kuanzia Massey wa CUF, JJ Mnyika wa CHADEMA na baadaye Saed Kubenea CHADEMA. Miaka yote ya uchaguzi CCM imekuwa ikifanya kila mbinu ili ilichukue lakini kila uchaguzi imekuwa ikizidiwa kimikakati na upinzani.
Ikumbukwe jimbo hilo linahusisha wasomi wa vyuo vikuu wengi kikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Ardhi, Maji na Chuo kikuu cha Sheria kilichopo Mawasiliano.
Wapiga kura wake wengi ni wenye uelewa ni vigumu kuwarubuni kwa kanga na kofia.
Tutegemee mchuano mkali.
=============
Matokeo ya Nyuma.
2015: Saed Kubenea CHADEMA kura 87,777, Dk. Didas MasaburiCCM kura 59,640.
2010: John Mnyika CHADEMA kura 66,742, Hawa Ngh’umbi CCM kura 50,544.
2005: Charles Keenja CCM.
2000: Hussein Mmasy CUF.
Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country