Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Vipi huyu bint amerudishwa?Kama amerudishwa basi mwana Fa,,tuma hana chake,akakwee minazi MagorotoM
Mwana FA hamuwezi Yossefa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi huyu bint amerudishwa?Kama amerudishwa basi mwana Fa,,tuma hana chake,akakwee minazi MagorotoM
Mwana FA hamuwezi Yossefa
Muheza imetokea kotekote, imekubaliwa, imekataliwa.
meza wembe dogoBoniface Jacob a.k.a Savimbi, is back in the game😂😂😂
Bado aiseeYule mama Mkurugenzi kaaibika vibaya sana.
Ikumbukwe jimbo hilo linahusisha wasomi wa vyuo vikuu wengi kikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Ardhi, Maji na Chuo kikuu cha Sheria kilichopo Mawasiliano.Jimbo la Ubungo ni la Upinzani tangu JJ Mnyika na baadaye Saed Kubenea, miaka yote ya uchaguzi CCM imekuwa ikifanya kila mbinu ili ilichukue lakini kila uchaguzi imekuwa ikizidiwa kimikakati na upinzani.
Ikumbukwe jimbo hilo linahusisha wasomi wa vyuo vikuu wengi kikiwemo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Ardhi, Maji na Chuo kikuu cha Sheria kilichopo Mawasiliano.
Wapiga kura wake wengi ni wenye uelewa ni vigumu kuwarubuni kwa kanga na kofia.
Tutegemee mchuano mkali.
Bado nini. Wananchi wa ubungo wanajua mbunge wao ni nani.Bado aisee
Haiwezekani tena.[emoji857]chama chetu kilipeleka Jima la NdungulileWamrudishe na makonda
Bado mkurugenzi ni yeye na ndiye mtangazajiBado nini. Wananchi wa ubungo wanajua mbunge wao ni nani.
Lisu atawateua?!
Yossefa ni kichwa ingine kabisa, alimsumbua sana Adadi sembuse FA chipsi mayai kabisaaM
Mwana FA hamuwezi Yossefa
NEC HAIJAWAHI MDHULUMU MTU INATENDA KAZI KWA MUJIBU WA SHERIA, KANUNI NA TARATIBU
Wewe unaona dhuluma ni sawa? Washukuru Tanzania hatuna sheria ya kumiliki silaha kiholela, ingekuwa Marekani Mama Dominic mbona angekuwa alishaambiwa parapanda?Jamaa alikuwa ameshapanic anataka kujilipua. Afadhali hahahaha
Sasa ashindwe yeye tu
Propesa basi tena...sijui atarudi tena ukatibu mkuu?
6 Sep 2017Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Uliza uambiwe Bonny ni mwanafunzi wa kitila pale udsm sio kilaza as you may think,pia ni mtoto wa mjiniKitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country