Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi yamrejesha Boniface Jacob jimbo la Ubungo

Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Most of those who call themselves professors in Tanzania are just rubbish .in most cases you will find no difference between professor and form leaver in Tanzania
 
Mbona inaeleweka.
Hapo kuna rufaa za walioondolewa , Muheza Mgombea wa CHADEMA aliondolewa, tafsiri yake amerudishwa. Hiyo ya kupinga walioteuliwa ni kama Lissu alivyomkatia rufaa Mgombea wa CCM...rufaa ikatupwa.
Kuna majimbo hayo matatu hizo rufaa zimetupwa. Muheza imetokea mara mbili sababu imehusika katika rufaa za kupinga uteuzi na pia rufaa za kuenguliwa.
Naamini umeelewa.
Muheza imetokea kotekote, imekubaliwa, imekataliwa.
 
Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Unafikiri kwa kuandika kingereza chako cha kindergarten ndiyo itamsaidia huyo Profesa wa jalalani kushinda Ubunge? Hayo ni matumizi mabaya ya akili.
 
Halafu huyu Profesa wa jalalani anawadhalilisha wakina mama kuwauliza hadharani kama wana maji.
 
Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Kina mama mna maji hamna? Swali la prof
 
Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Acha kujamba kwenye jukwaa wewe dada jane! Unajua hata maana ya profesa wewe au unabwabwaja tu? Kwa Tanzania uprofesa ni cheo uchwara tu kama vilivyo vyeo vingine tena vile vyeo mshenzi vya kuteuliwa.
 
Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Akili ya kusoma sio akili ya siasa
 
Kitila ni mbunge na waziri mtarajiwa,!

Bavicha wanafiiri kushinda ni kwa mikwara
 
Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country

Wananchi ndio wanaoamua kuchagua Mwakilishi wanaemtaka, education status is not a matter, wanachotaka wananchi ni yule mtu atakae kuwa nao karibu wakati wote huyo Prof, arudi darasani akashike chaki tu.
 
Ki Msingi Kitila Mkumbo aanze kutafuta kazi ingine ya kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…