Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina. Na Mungu ambariki Magufuli, ampe Hekima ya kuheshimu maamuzi ya wapiga kura.
Haswaa hilo nalo ni muhimu sanaAmina. Na Mungu ambariki Magufuli, ampe Hekima ya kuheshimu maamuzi ya wapiga kura.
Akagombee viti maalum baada ya kumpigia mh Lissu magoti ili amfikirieKitila ni mbunge na waziri mtarajiwa,!
Bavicha wanafiiri kushinda ni kwa mikwara
Umemaliza kaziWananchi ndio wanaoamua kuchagua Mwakilishi wanaemtaka, education status is not a matter, wanachotaka wananchi ni yule mtu atakae kuwa nao karibu wakati wote huyo Prof, arudi darasani akashike chaki tu.
Atarudi kwa swahiba yake ZittoKi Msingi Kitila Mkumbo aanze kutafuta kazi ingine ya kufanya.
Aliyekuwa Meya Boniface Jacob siyo tu ana kura zote za wakaazi wa Ubungo bila kujali vyama kwani anakubalika hata na mgombea wa CCM Mpya ngazi ya urais John Magufuli kutokana na kazi kubwa aliyofanya ya uongozi kama diwani kupitia CHADEMA na meya.
2017 RAIS MAGUFULI AMWAGIA SIFA MEYA WA UBUNGO BONIFACE JAKOB
Hoja yako inachekesha, ni butu sana.Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Lipumba ni Pro-pesa (sorry, I meant Professor), so hua anashindaga chaguzi zote eeee??Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Siyo hao tu, hata ‘nyapara’ hapewi barabara! Ila Kitila kutubu, inawezekana!
SawaSiyo hao tu, hata ‘nyapara’ hapewi barabara! Ila Kitila kutubu, inawezekana!
😂😂😂Ina maana wametafakari kwa kina ama?.
Sijaelewa, hizo rufaa ni wale walioondolewa kugombea kupitia vyama pinzani au walioachwa ccm ndo wamekata rufaa??
Za upinzani ndugu izo
Are you mad?!!Kitila is a professor but Jacob Boniface is just form 4. You can't defeat a professor because he is very intelligent than Jacob. He knows many things about the country
Naam hiyo ndio haki kwa wagombea na wananchi kwa ujumlaWagombea wote waliotekwa na wapambe wa Majaliwa warejeshwe Ruangwa
Huyo DED Beatrice Domini achukue maternity leave akatoa usaha tumboni.....na bado tunaye shenzi zake!Hili ni pigo kubwa kwa Mkurugenzi Beatrice dominic wa manispaa ya ubungo.