NEC ni CCM na CCM ni NEC.NEC ni mkono wa kulia wa MagufuliView attachment 1588827
Chadema tunamtegemea Robert [emoji3][emoji3][emoji3]
Hatumtegemei mtu.Sisi huwa tunamtegemea Mungu na oct 28 tunachukua nchi na baada ya hapo tunabadilisha tume hii dhalimu ambayo inakupa kicheko fake ndani ya siku 100Chadema tunamtegemea Robert [emoji3][emoji3][emoji3]
Umewahi ona wapi wafanyakazi wakamfukuza bosi Kazi? Tafakari hayo
Ccm inaheshimu sheria, ila Chadema inaanangamizwa na lissu kwa kujiona yeye anajua sheria kumbe hamna kitu
Yani huwezi kutenganisha CCM na Tume, kila mmoja anategemea mwenzie kumbeba kwa vipindi tofautiAcha walichochee treni la Sayuni halijawahi mwacha mtu salama.
Malalamiko yanayoelekezwa tume inayasikia yote au dhidi ya vyama fulani tu?
Malalamiko dhidi ya mtu au chama nani ana husika kuyajibu?
Nani kasikia majibu ya CCM au mgombea wao?
NEC ni CCM na CCM ni NEC.Tume ya Taifa ya uchaguzi ni mkono wa kulia wa MagufuliView attachment 1588827
Tume ni ccmMabibi na mabwana heshima kwenu
Kumekuwapo na malalamiko ya uvunjifu wa kanuni na sheria za maadili ya uchaguzi yanayofanywa na mgombea wa CCM yaliyowasilishwa kwenu rasmi.
Mgombea wa tume ameendelea kutofuata ratiba za kampeni, majaliwa naye anaendelea akitumia raslimali za serikali, kuita wagombea wengine majina na kuwa ni vibaraka kunaendelea nk.
Malalamiko haya tume imeamua kuyadharau?
Kwa kufumbia macho malalamiko haya tume imeamua kujidhihirisha kuwa inaupendeleo wa wazi?
Kwa kufumbia macho malalamiko haya tume imeamua kujidhihirisha kuwa haiaminiki?
Tume ipalilieni vurugu kwa kujifanya viziwi.
Hatumtegemei mtu.Sisi huwa tunamtegemea Mungu na oct 28 tunachukua nchi na baada ya hapo tunabadilisha tume hii dhalimu ambayo inakupa kicheko fake ndani ya siku 100
Ccm ipo kwa miaka miamoja ijayo mezeni sumu tu mtateseka sana
Ukweli mchungu ni kwamba furaha yenu fake inayotokana na udhalimu wa tume yenu dhalimu haiwezi kudumu kwa sababu udhalimu haukuwahi kuishinda haki!Ccm ipo kwa miaka miamoja ijayo mezeni sumu tu mtateseka sana
Ukweli mchungu ni kwamba furaha yenu fake inayotokana na udhalimu wa tume yenu dhalimu haiwezi kudumu kwa sababu udhalimu haukuwahi kuishinda haki!
Udhalimu haukuwahi kuishinda haki.Hata udhalimu ukumbatiwe na watu billion moja na haki ikumbatiwe na mtu mmoja still haki itashinda.Daudi alikuwa mdogo sana na myonge sana ila aliliiua jitu kubwa na linalotisha tena kwa kutumia jiwe tu wakati jitu lile la kutisha lilikuwa na masilaha mengi na ya kutisha.Ccm inawanachama hai mlion 20 acha wafuasi na mashabiki
Chadema mna wanachama laki tano, huoni hata aibu kuisingizia Tume ya Uchaguzi ?
Mwalimu Nyerere alituachia Amani na amani inapatikana Ccm tu
Vyama vya upinzani vitaleta vita hatuwezi kuvichagua
Udhalimu haukuwahi kuishinda haki.Hata udhalimu ukumbatiwe na watu billion moja na haki ikumbatiwe na mtu mmoja still haki itashinda.Daudi alikuwa mdogo sana na myonge sana ila aliliiua jitu kubwa na linalotisha tena kwa kutumia jiwe tu wakati jitu lile la kutisha lilikuwa na masilaha mengi na ya kutisha.
Kwa nini hii iliwezekana?Hii iliwezekana kwa sababu Daudi alikumbatia haki na jitu lile la kutisha na lenye silaha kali sana lilikumbatia uonevu na udhalimu kama vile ilivyo CCM na tume yake dhaifu pamoja na mamillion wanayoiunga mkono.Hakuna jinsi ya kuishinda haki