Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,625
- 3,735
Hivi hizi hela mlipeleka wapi majizi wakubwaChadema tunamtegemea Robert [emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hizi hela mlipeleka wapi majizi wakubwaChadema tunamtegemea Robert [emoji3][emoji3][emoji3]
Ila ninyi ccm ni vilaza wa hali juu huyu naye ni mgombeaAnayeiua Chadema ni lissu mtalijua hilo muda si mwingi
Wakuiba kura kama hawa mashetani.safari hii habiwi mtu mashetani wakubwaCcm inawanachama hai mlion 20 acha wafuasi na mashabiki
Chadema mna wanachama laki tano, huoni hata aibu kuisingizia Tume ya Uchaguzi ?
Mwalimu Nyerere alituachia Amani na amani inapatikana Ccm tu
Vyama vya upinzani vitaleta vita hatuwezi kuvichagua
Wakuiba kura kama hawa mashetani.safari hii habiwi mtu mashetani wakubwaView attachment 1588907
Hayo malalamiko yamepelekwa rasmi Tume? Ingekua tunakuja na ushahidi usiotia shaka juu ya kupeleka malalamiko kimaandishi Tume sawa lakini tatizo tunaishia tu kupiga kelele mitandaoni. Tume inafanya kazi zake kwa mujibu wa kanuni, Sheria, na taratibu zilizopo haikurupuki tu wale ni wanasheria nguli hawawezi fanya kazi na hear say