Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Pumbav,Magufuli anavunja sheria za uchaguzi kila siku na malalamiko yako tume ya uchaguzi ila wameufyata!Ccm inaheshimu sheria, ila Chadema inaanangamizwa na lissu kwa kujiona yeye anajua sheria kumbe hamna kitu
Kwenye nchi hii hakuna chama ambacho kimepigania ushoga kuliko CCM.Mheshimiwa sana Paul Makonda alipoanza kupambana na ushoga kupitia chama chake CCM serekali ya CCM iliibuka mara moja na kusema kuwa ushoga ni jambo jema sana na vita aliyoianzisha Mheshimiwa sana Paul Makonda ni vita yake binafsi na wala siyo vita ya Serekali.Tena bila aibu serekali ya CCM iliyasema haya kwa maandishi!Sasa mwenye haki ni nani ? Huyu anayepigania chapuo ushoga?[emoji3][emoji3]
Kwahiyo ushoga sikuhizi ni haki ? Chadema maskini
Kura milion 6 kwa CDM,kura mil 8 kwa CCM mwaka 2015!Ccm inawanachama hai mlion 20 acha wafuasi na mashabiki
Chadema mna wanachama laki tano, huoni hata aibu kuisingizia Tume ya Uchaguzi ?
Mwalimu Nyerere alituachia Amani na amani inapatikana Ccm tu
Vyama vya upinzani vitaleta vita hatuwezi kuvichagua
Kura milion 6 kwa CDM,kura mil 8 kwa CCM mwaka 2015!
Umeelewa nini hapo wewe punguani wa head?
Unamaana aligombea kupitia CCM au?Hata Membe si alikuwa CCM?Basi apate hizo kura mil 6!Hujui Lowasa alikuwa mwanaccm ?
Mjadala umefungwa!NEC ni CCM na CCM ni NEC.Tume ya Taifa ya uchaguzi ni mkono wa kulia wa MagufuliView attachment 1588827
Mkuu mimi huwa sipotezi muda wangu wowote ule kwa porojo!Please sana usiniletee porojo.Mimi siyo kama wale.Nimeweka ushahidi wa barua ya serekali ya CCM wao wenyewe wakionyesha kuunga mkono juhudi za ushoga Tanzania na wakipinga aina yeyote ile ya kuzuia ushoga Tanzania.Jambo hili kila mtu analijua kwa sababu lilipokuwa linatokea kila mtu aliona.
Kama unadai kuwa Chadema wanaunga mkono ushoga please weka ushahidi hapa.Mimi siyo muumini wa porojo.
Ccm inaheshimu sheria, ila Chadema inaanangamizwa na lissu kwa kujiona yeye anajua sheria kumbe hamna kitu
Ccm inaheshimu sheria au ccm ndio inaipangia tume jinsi ya kutekeleza sheria?
Humu jamii forum sisi mashabiki wa Ccm tunawindwa sana ukikosea kidogo tu ban hata nikileta ushahidi nitalambwa ban
Nimelambwa ban ya mwezi kwa sababu ya kusema ukweli kuhusu lissu
Hizo ni siasa zako za maji taka sasa!Yaani mimi nipigwe ban kwa kuweka barua ya serekali ya CCM inayounga mkono juhudi za ushoga Tanzania?!Tena barua yenyewe ni ya ukweli?Unaweza kupigwa ban tu kama utaweka ushahidi ambao ni porojo ila ushahidi ukiwa clear and obvious kama wa kwangu huwezi kupigwa ban.Kwa barua ile CCM ni muumini na kinara wa kuunga mkono juhudi za ushoga Tanzania na kinara wa kuzuia aina yeyote ile ya kupinga ushoga Tanzania kuliko chama chochote cha siasaHumu jamii forum sisi mashabiki wa Ccm tunawindwa sana ukikosea kidogo tu ban hata nikileta ushahidi nitalambwa ban
Nimelambwa ban ya mwezi kwa sababu ya kusema ukweli kuhusu lissu
Ccm inaheshimu sheria haina dharau km mgombea wa chadema
Hayo malalamiko yamepelekwa rasmi Tume? Ingekua tunakuja na ushahidi usiotia shaka juu ya kupeleka malalamiko kimaandishi Tume sawa lakini tatizo tunaishia tu kupiga kelele mitandaoni. Tume inafanya kazi zake kwa mujibu wa kanuni, Sheria, na taratibu zilizopo haikurupuki tu wale ni wanasheria nguli hawawezi fanya kazi na hear sayMabibi na mabwana heshima kwenu
Kumekuwapo na malalamiko ya uvunjifu wa kanuni na sheria za maadili ya uchaguzi yanayofanywa na mgombea wa CCM yaliyowasilishwa kwenu rasmi.
Mgombea wa tume ameendelea kutofuata ratiba za kampeni, Majaliwa naye anaendelea akitumia raslimali za Serikali, kuita wagombea wengine majina na kuwa ni vibaraka kunaendelea nk.
Malalamiko haya tume imeamua kuyadharau?
Kwa kufumbia macho malalamiko haya tume imeamua kujidhihirisha kuwa inaupendeleo wa wazi?
Kwa kufumbia macho malalamiko haya tume imeamua kujidhihirisha kuwa haiaminiki?
Tume ipalilieni vurugu kwa kujifanya viziwi.
Hizo ni siasa za maji taka sasa!Yaani mimi nipigwe ban kwa kuweka barua ya serekali ya CCM inayounga mkono juhudi za ushoga Tanzania?Tena barua yenyewe ni ya ukweli?Unaweza kupigwa ban tu kwa utaweka ushahidi ambao ni porojo ila ushahidi ukiwa clear and obvious kama wa kwangu huwezi kupigwa ban.CCM ni muumini na kinara wa kuunga mkono juhudi za ushoga Tanzania na kuzuia aina yeyote ile ya kupinga ushoga Tanzania kuliko chama chochote cha siasa
Mkuu una moyo sana kubishana na watu wa namna hii...Mimi siwezi bishana na MTU anayehamisha topic kama huyo... Ukimjibu hiki anaongea kile (tena vya uzushi siyo official)Udhalimu haukuwahi kuishinda haki.Hata udhalimu ukumbatiwe na watu billion moja na haki ikumbatiwe na mtu mmoja still haki itashinda.Daudi alikuwa mdogo sana na myonge sana ila aliliiua jitu kubwa na linalotisha tena kwa kutumia jiwe tu wakati jitu lile la kutisha lilikuwa na masilaha mengi na ya kutisha.
Kwa nini hii iliwezekana?Hii iliwezekana kwa sababu Daudi alikumbatia haki na jitu lile la kutisha na lenye silaha kali sana lilikumbatia uonevu na udhalimu kama vile ilivyo CCM na tume yake dhalimu pamoja na mamillion wanayoiunga mkono.Hakuna jinsi udhalimu unaweza kuishinda haki
Mimi huwa nawala vichwa polepole.Nimemla kichwa kwenye hii halafu akanipeleka kwenye mambo ya ushoga halafu nikamla kichwa tena kwa kuweka ushahidi wa barua ya serekali ya CCM ikiwa inampinga na kumzuia makonda asipambane na ushoga.Yaani kwa kifupi ni kwamba hakuna chama ambacho Tanzania kinaunga mkono ushoga na kuzuia kwa hali na mali ushoga kupingwa Tanzania kuliko CCM.Sasa hivi jamaa ameingia mitini!Mkuu una moyo sana kubishana na watu wa namna hii...Mimi siwezi bishana na MTU anayehamisha topic kama huyo... Ukimjibu hiki anaongea kile (tena vya uzushi siyo official)
Vizuri sana mkuu..kweli unaweza ku-deal na watu wa aina ile!Mimi huwa nawala vichwa polepole.Nimemla kichwa kwenye hii akanipeleka kwenye mambo ya ushoga halafu nikamla kichwa tena kwa kuweka ushahidi wa barua ya serekali ya CCM ikiwa inampinga na kumzuia makonda asipambane na ushoga.Yaani kwa kifupi ni kwamba hakuna chama ambacho Tanzania kinaunga mkono ushoga na kuzuia kwa hali na mali ushoga kupingwa Tanzania kuliko CCM.Sasa hivi jamaa ameingia mitini!
Umesharudi! Utopolo kama kawa!Ccm inaheshimu sheria, ila Chadema inaanangamizwa na lissu kwa kujiona yeye anajua sheria kumbe hamna kitu
Weka ushahidi mkuu ili tuende sawa.Achana na mambo ya porojo.JF siyo center ya porojo.Mimi nimeweka ushahidi wangu unaothibitisha beyond the reasonable doubt kuwa Tanzania hakuna chama kinachounga mkono juhudi za ushoga kuliko CCM.Nimefanya yote haya ili kujitenga na porojo za maji taka.Nawe weka ushahidi wako hapa unaothibitisha beyond the reasonable dout kuwa Chadema ni muumini wa ushoga.Kwani tungekuwa mahakamani si ungelazimika kuleta ushahidi mkuu?Kwani ingekuwa ni mahakamani ungeshinda kesi kwa kupiga porojo?Anayepigania ushoga Tanzania anajulikana amekuja juzi kutoka ubeligiji hata ukimuuliza muokota makopo atakuambia