Uchaguzi 2020 Tume ya uchaguzi malalamiko dhidi ya CCM yanawafikia?

Wakuiba kura kama hawa mashetani.safari hii habiwi mtu mashetani wakubwa
 

Malalamiko rasmi kama ilivyo katika mada yamefikishwa tume.

Jiridhishe taarifa hii siyo hearsay kwa kufika CDM makao makuu au kuomba ushirikiano tume.

CDM ni chama makini mno jombi kutaka wewe kudhani wanajaribu kuitaka tume kufanyia kazi malalamiko yasiyokuwa rasmi.

Jiridhishe mkuu kabla ya kuanika utopolo hadharani:

Kwanini tume haikumuita mgombea wa CCM kwenye kamati?
 
Hii tume sio huru hata kidogo inaegemea upande mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…