Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi (NEC): Tundu Lissu amepelekewa barua ya kuitwa na Kamati ya Maadili

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi (NEC): Tundu Lissu amepelekewa barua ya kuitwa na Kamati ya Maadili

Nyinyi tumeccm uchwara muwe mnaelewa mbona mnajitoa ufahamu, mmempelekea Lissu barua au mmeipeleka barua ofisi za Chadema? Hata Mambo madogo tu Kama haya hamuelewi mnafanyaje kazi?
 
Na magoti wanapiga
1601415253405.png
 
Hahahaha!!! huyu ni Mkurugenzi wa tume ya taifa ya uchaguzi au "nkurugenzi tumia ukaguzi"?, huyu bwana si alisema juzi mchana kweupe mbele ya tv na vyombo vingine vya habari kuwa Lisu anatakiwa mbele ya tume leo hii tarehe 29 mwezi huu wa 9? Lisu mwamba wa sheria mkurugenzi kawa mpole kama afande wa mabomu ya Sirari.

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Lisu hakurupuki. Anafanya homework ya kitosha kabla ya kunena. Na kwenye hicho kikao, Tume watajuta kwa nini walimwita maana itakuwa ni wakati kunyonyolewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu, yaani nimewaza hivyo hivyo kwamba atawasumbua sana maana Lissu anapenda kufanya research ya kutosha kabla ya kuanza mpambano.
 
Jiandae kisaikolojia utakapojua ukweli wa huyo unayemshabikia ni hatari sana kuliko nyoka swila.

Isipokuwa uwe na amani kuwa nchi iko kwenye ulinzi wa uhakika. Kama tuliweza kushinda korona, ambayo hadi sasa inatetemesha nchi tajiri, itakuwa ya kibaraka wa mabepari!

Ameandaliwa kuanzisha vurugu tarehe 23/10/2020 wakati yeye tayari amepanga kujiondoa kwenye kinyang'anyilo tarehe 21/10/2020 na kusepa. Ila hiyo mipango imefeli, atafute jinsi nyingine
Hoja za lumumba bwana ni kichekesho kitupu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Jiandae kisaikolojia utakapojua ukweli wa huyo unayemshabikia ni hatari sana kuliko nyoka swila.

Isipokuwa uwe na amani kuwa nchi iko kwenye ulinzi wa uhakika. Kama tuliweza kushinda korona, ambayo hadi sasa inatetemesha nchi tajiri, itakuwa ya kibaraka wa mabepari!

Ameandaliwa kuanzisha vurugu tarehe 23/10/2020 wakati yeye tayari amepanga kujiondoa kwenye kinyang'anyilo tarehe 21/10/2020 na kusepa. Ila hiyo mipango imefeli, atafute jinsi nyingine
Ni hatari kuliko huyu aliyewapoteza akina Ben Saanane, Azory Gwanda na mamia kuokotwa kwenye viroba? Acheni upuuzi, huu utawala wa wateka nyara hauna nafasi tena.
 
Huyu mkurugenzi wa uchaguzi ni utopolo mtupu.
 
Back
Top Bottom