Zanzibar 2020 Tume ya Uchaguzi Zanzibar: Kura ya mapema (Oktoba 27) haitahusisha Askari wote

Zanzibar 2020 Tume ya Uchaguzi Zanzibar: Kura ya mapema (Oktoba 27) haitahusisha Askari wote

Huko nyuma walikuwa wanapigeje?
Pana siri kali sana hapa. tuache tu kuhoji kwanza babu amezeeka sana.
 
Kwa vile imeshakuwa hizo siku mbili Sasa hao wapinzani nao waendae mawakala wao hiyo siku wawepo na hizo kura zihesabiwa siku hiyo hiyo maana ni chache matokeo yake yabandikwe siku hiyo hiyo, hapo wasimuachie bucha Simba iwe bampa to bampa.
 
Hayo makundi maalumu yaliyojiandikisha tume pia wapewe majina, idadi na wanasheria wao Sasa wafanye kazi yakuangalia Kama kanuni zimefatwa na wachukue hatua.
 
Hivyo vyombo vinafanya kazi kwa mujibu wa sheria ukivunja sheria ni ujinga wako

Mmeona dalili ya kushindwa mnajificha kuisingizia vyombo vya usalama

Tutawafundisha adabu
Wenye woga ni nyinyi mnaotafuta msaada wa jeshi, polisi na watu wa usalama wa taifa TISS
 
Hivyo vyombo vinafanya kazi kwa mujibu wa sheria ukivunja sheria ni ujinga wako

Mmeona dalili ya kushindwa mnajificha kuisingizia vyombo vya usalama

Tutawafundisha adabu


Sheria ndivyo inavyosema polisi ashirikiane na Janjaweed kupora mali za watu na kupiga watu ??
 
Kama Wewe ni kibaka au jambazi Unataka polisi ikuache uendelee kupora watu
Sheria ndivyo inavyosema polisi ashirikiane na Janjaweed kupora mali za watu na kupiga watu ??
 
Kama Wewe ni kibaka au jambazi Unataka polisi ikuache uendelee kupora watu

Sheria ndivyo inavyosema watu waliokaa majumbani mwao kuwa ni vibaka ?? kwa hivyo vibaka waporwe mali zao ??
 
Kwa mujibu wa maneno ya mwenyekiti wa tume ya ZEC watumishi hao na mapolisi watalazimika kupiga tena kura tarehe 28 ya muungano. Sasa kwanini wasipewe ballot papers zote tano hio siku ya tarehe 28. Inamaana ndio tuseme kutakuwa na tofauti kubwa ya kupiga kura tatu tarehe 27 na kupiga kura tano 28. Hapa hapana manitiki kabisa.
 
Kama Wewe ni jambazi acha wala vyombo vya ulinzi na usalama havitahangaika na wewe
Sheria ndivyo inavyosema watu waliokaa majumbani mwao kuwa ni vibaka ?? kwa hivyo vibaka waporwe mali zao ??
 
Hii Hapana aise, nitawadharau sana wazanzibari kwa kuacha hili lipite hivi hivi. Yani mtumishi apige kura siku mbili? Kwamba kupiga kura mtumishi ni kazi sana itakayogharimu siku nzima, then kesho yake aende akamalizie kupiga kura za raisi wa muungano?
Aaaah aise aliyewashauri mbinu hii aliwadharau sana
 
Kama Wewe ni jambazi acha wala vyombo vya ulinzi na usalama havitahangaika na wewe


Vyombo vya ulinzi na usalama vilitakiwa vianze kuwashughulikia hawa magaidi wezi wa kura na wachakachuaji wanaoibeba CCM

1602354192835.png
 
Back
Top Bottom