1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Acha kuingiza udini katika masula haya. Nini mlengo wako. Usitumie usilamu kuhalalisha upumbavu wako uliokujaa mwilini. Uislamu sio dini ya kufanya Mambo ya kijinga.
Wapumbavu ni nyie mnaowaza dhulma ili mpate madaraka na mali kupitia madaraka .
Mkijenga taifa la kujali vyeo badala ya utu ,haki na upendo msitegemee kuwa mtaweza kuwajenga vijana waamini katika kutafuta mali kwa halali ,matokeo yake ni kila mtu kuwaza dhulma ,wizi ,ujambazi na ushirikina na udanganyifu wa kila aina.
Mnafanya mambo ambayo hata shetani anawashangaa.
Hivi wewe unaona ni sahihi Kupiga kura siku mbeli kwenye Kale ka nchi ka Zanzibar?
Hivi kwa nini mnapenda sana madaraka ya dhulma?
Acheni hizo ! Mnawaumiza watu kwa sababu ya kujinufaisha ,mmekua kama wafanyabiashara ya utumwa! Walikua hawajali uhai na masiha ya watu bali wao tu kupata!
Waovu wakubwa !!
Damu zote zinazomwagika kwa sababu ya dhulma iwe juu yenu na watoto wenu na wajukuu zenu.