Wanasheria tusaidieni:
Kuna jurisdiction mbili hapa..moja inasimamiwa na ZEC na nyingine na NEC.
kwa kuwa ZEC imesema uchaguzi haukuwa huru na wa haki, je ni nini kitahalalisha uchaguzi uliosimamiwa na NEC? Kumbuka, ni sehemu ileile, wasimamizi walewale na wapiga kura wale wale, waliopiga kura chini ya ZEC na NEC.
Je, kitendo cha kuahirisha uchaguzi huu wa ZEC kitasababisha ucheleweshwaji wa matokeo ya NEC? Kumbuka, tayari NEC imeshatoa matokeo yaliyosimamiwa na ZEC lakini ni kwa ajili ya NEC.
Au kila tume ilikuwa na wasimamizi wake?