Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

Hii ni sawa na mchezaji kupigwa red card katika dakika 90 za mchezo. Baada ya extra time akaunganika na wenzake akapiga penalty na akafunga.
 
Sijaona umuhimu wao na inabidi watazamwe kwa jicho la pili kama wameweza kutoa report inayosifia na wakati huo huo uchaguzi kwa upande wa Zanzibar unafutwa, je wanatumika kwa maslahi ya nani???
 
Hoja:~ Swali ni kwamba kama uchaguzi wa zanzibar umefutwa ina maana kura za visiwani wagombea wa bara hawazipati
~ Kwa mjibu wa Katiba ya tz (1977) ibara ya 96 kifungu cha 2 kipengere cha 6 (a) endapo uchaguzi utafutwa Zanzibar hata Tanzania bara pia utaonekana batili manake Rais huchaguliwa na pande zote mbili.
 
La ajabu alilosema Lubuva mchana huu ni kuwa kura za wabunge na rais wa jamuhuri kwa upande wa zanzibar wamezipokea kutoka majimbo yote na hazina kasoro yoyote hivyo zinahesabika ni halali.
Pia kasema kura zilizopigwa ni nyingi kuliko waliojiandikisha.
w
swali. Iweje za jamihuri ziwe sawa lakini za shein na maali ziwe zimezidi. Kivipi wakati walichagua pamoja. Au ndio ulofa huu tulioambiwa watanzania ni malofa.

Hata mm mkuu nashanga sana uharari wa hizi kula wakati wapiga kur ni wale wale, vituo vile vile, wasimamizi wale wale. Kiukweli Africa hakuna Democracy, tuombe ajratokee tu kiongozi anae wapenda wananchi wake na afanye maendeleo ya nchi nakuweka misingi ya kidemocracia, vinginevyo haina hata haja kuwa na uchaguzi maana vizaz vya viongozi wetu watendelea kuwa viongozi siku zote kwaabavu kama haya.
 
Jamani mambo mengine sio rocket science.

Kama ZEC imebatilisha matokeo ya visiwani basi hata yale matokeo ya visiwani yanaowahusu wagombea wa JMT (Magufuli, Lowasa, na wengine) ni batili LAKINI matokeo ya bara sio batili.

Kinachofuatia ni hiki:

1. Kama Magufuli amemzidi Lowasa kwa kura (za bara) zaidi ya watu wote waliojiandikisha kupiga kura visiwani basi Magufuli atatangazwa kama raisi wa JMT.

2. Kama hii tofauti ya kura ni chini ya wapiga kura wote wa visiwani basi matokeo haya ya bara yatakuwa provisional na tutasubiri visiwani wapige kura upya ndio mshindi wa uraisi wa JMT atakapotangazwa.

Msitutie kwenye machafuko yasio na msingi.
 
Lakini mkuu huo uchaguzi umefanyikia wapi??? Si zanzibar??! Kama zec wamesema kura ni batili kwanini wewe unasema ni halali???

mfano rahisi, kura za Ubunge mahali popote pale unaweza ukafutwa na Uraisi ukasimama, kwanini? ...kwasababu vifungu vya sheria vya chaguzi mbili ni tofauti. Kama NEC ambao ni wasimamizi pekee wa Uraisi Zanzibar mchakato wao umeenda vizuri, haimaanishi mapungufu ya ZEC yafute matokeo yote mawili.

usimamizi wa uchaguzi Raisi wa Muungano na Raisi wa Zanzibar unasimamiwa na kuendeshwa na tume mbili tofauti, iweje leo NEC walazimishwe kufutwa kwasababu ZEC wameamua kufuta? ina maana Kawe leo wakikosema kupiga kura, Tanzania nzima irudie kupiga kura au Kawe ndio warudie?
 
Wacha uwongo ZEC hawajafuta kura za ubunge na uraisi wa muungano.Hizo haziwahusu na hawana nguvu nazo kisheria na hawazisimamii.Walizofuta ni za raisi wa Zanzibar na baraza la wawakilishi!!
Mkuu mbona suala hilo liko wazi kabisa,kisheria kazi za NEC na ZEC hazingiliani kabisa kiutendaji - hapa watu wanaleta ubishi aidha kwa kutojua au kwa kufikiri suala la Zanzibar litalazimisha NEC ifute matokeo yote na kuitisha uchaguzi upya!

Kitu kinacho nishangaza mimi imekuwaje tena kisiwa cha Pemba ndio kibainike kuwa na idadi kubwa ya kura za kughushi,si hilo tu vile vile Mh.Magufuli alipata idadi ndogo ya kura kutoka Pemba unlike Unguja-kwa nini? Maalim Seif ni mwenyeji wa Pemba na yupo kwenye kundi la UKAWA hivyo sitashangaa kama wenzao Bara hawatajaribu kukataa matokeo au kijitangazia ushindi,watakuwa wameweka mikakati inayo fanana fanana ya Maalim Seif.
 
Hoja:~ Swali ni kwamba kama uchaguzi wa zanzibar umefutwa ina maana kura za visiwani wagombea wa bara hawazipati
~ Kwa mjibu wa Katiba ya tz (1977) ibara ya 96 kifungu cha 2 kipengere cha 6 (a) endapo uchaguzi utafutwa Zanzibar hata Tanzania bara pia utaonekana batili manake Rais huchaguliwa na pande zote mbili.

Nimeipenda hii, kwa maana hiyo kama sheria ilisema hivyo itabidi bara matokeo yafutwe.
 
ZEC ni kwa Rais wa Zanzibar na Wawakilishi wa Zanzibar kwenye Baraza la WAwakilishi huko Zanzibar...according to the Act below:

attachment.php

Wewe ndg unajielewa? au ndio January Makamba alivyowakaririsha....Ingekuwa hivyo kwanini NEC walitangaza Matokeo ya Kura za huko kwenye uRais wa MUUNGANO
 
Hiki ni kituko cha Mwaka...Jechs S Jecha umelikoroga kwa kwenda kuomba ushauri upande wa pili.

Hivi hii tume haina wanasheria?

1. Tangazo lenyewe halina Tarehe
2. Mwenyekiti katoa maelezo halafu haja sema ni kifungu gani cha sheria kinacho toa mamlaka kwa Tume Kufuta Uchaguzi?
3. Tume haijaeleza kama wapiga kura walizidi kwenye vituo kuliko wale walio andikisha na kwa kuwa wale wale waliopiga kura kwa ajili ya viongozi wa Zanzibar ndo hao hao waliopigia Rais wa JMT, Tume kwanini haijasema mustakbari wa kura za rais wa JMT?

Huu ni mwanzo wa Picha tu...mengi yataibuka ngoja tusubiri

Ukienda kwenye Wall Page ya Dr ONESMO KYAUKE anasema kwenye KATIBA ya Zanzibar hakuna kipengele kinachopia ZEC mamlaka yakufuta Uchaguzi..Sheria inasema Uchaguzi utarudiwa ikiwa KURA zitafungana sizaidi ya hapo so amewashauri CUF waende Mahakamani kuishinikiza TUME watangaze matokeo
 
Jamani tuache unafiki barua inaonesha ni uchaguzi wote wa Zanzibar na sio wa Urais tu. Kwa hiyo kuna athari kwa uchaguzi mkuu wa nchi.
 
Mkuu mbona suala hilo liko wazi kabisa,kisheria kazi za NEC na ZEC hazingiliani kabisa kiutendaji - hapa watu wanaleta ubishi aidha kwa kutojua au kwa kufikiri suala la Zanzibar litalazimisha NEC ifute matokeo yote na kuitisha uchaguzi upya!

Kitu kinacho nishangaza mimi imekuwaje tena kisiwa cha Pemba ndio kibainike kuwa na idadi kubwa ya kura za kughushi,si hilo tu vile vile Mh.Magufuli alipata idadi ndogo ya kura kutoka Pemba unlike Unguja-kwa nini? Maalim Seif ni mwenyeji wa Pemba na yupo kwenye kundi la UKAWA hivyo sitashangaa kama wenzao Bara hawatajaribu kukataa matokeo au kijitangazia ushindi,watakuwa wameweka mikakati inayo fanana fanana ya Maalim Seif.
Hayo maneno ni ya mtu na hujui kayasema kwa dhamira gani.

Hayo ni maneno yake, angeweza kusema CCM wameiba na kwa mtazamo wako ikiwa sahihi, angeweza kusema kuna Wakenya wameiba na kwa mtazamo wako kwavile kasema ni sahihi

Kumbuka kuwa wakati wa kufuta zoezi hilo, si suala la kufuta tu.

Ni suala la kuhakikisha kuwa kuna utetezi unaoweza kuwaruga watu kama inavyoonekana
 
sio kweli KURA za BARA na VISIWANI hazichanganywi, NEC wanasimamia kura za Raisi wa Tanzania, bara na visiwani, huko Zanzibar wamejichanganya wenyewe na kura zao. Sisi huku bara mambo yataendelea kama kawaida.

Mkuu umeielewa vzr Statement ya ZEC? nikwamba uchaguzi ulikuwa na kasoro manake wapigaji Kura sinihao waliochagua SHEIN na SEIFU?
 
Ukisoma barua ya CUF, wanasema ZEC ni wakala wa NEC kule visiwani.

Sijasoma mtu anayesema hilo si kweli
 
Jamani tuache unafiki barua inaonesha ni uchaguzi wote wa Zanzibar na sio wa Urais tu. Kwa hiyo kuna athari kwa uchaguzi mkuu wa nchi.
Makamba hakuiambia tume/kuishinikiza imtangaze magufuli mshindi chap chap!Wala hakutishia machafuko, alionge kama sie wa kwenye mitandao
Mimi nionavyo ni kuwa Seif amewapa kifurushi cha kinyesi ZEC-ccm na enyewe ZEC imeamua kijipaka kinyesi hiko.

CCM na ZEC zimeonesha rangi zao hasa na wanawazidishia wadanganyika (wananchi) magazabu. Wanawapa wananchi sababu ingine ya kuikataa CCM iliyoleta "maisha bora kwa kila mdanganyika"

Tume ya uchaguzi iliyoshindwa kumtangaza mgombea uraisi kupitia CCM kushinda uraisi haijawahi kutokea. Historia mpya imeandikwa.

Goli la Nape limepanguliwa.

Cha kushangaza katika huu usanii na mazingaombwe sijasikia CCM kulalamikia kunyimwa Ushindi wao. Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.

a Silly season.
 
Jamani mambo mengine sio rocket science.

Kama ZEC imebatilisha matokeo ya visiwani basi hata yale matokeo ya visiwani yanaowahusu wagombea wa JMT (Magufuli, Lowasa, na wengine) ni batili LAKINI matokeo ya bara sio batili.

Kinachofuatia ni hiki:

1. Kama Magufuli amemzidi Lowasa kwa kura (za bara) zaidi ya watu wote waliojiandikisha kupiga kura visiwani basi Magufuli atatangazwa kama raisi wa JMT.

2. Kama hii tofauti ya kura ni chini ya wapiga kura wote wa visiwani basi matokeo haya ya bara yatakuwa provisional na tutasubiri visiwani wapige kura upya ndio mshindi wa uraisi wa JMT atakapotangazwa.

Msitutie kwenye machafuko yasio na msingi.
machafuko utaleta wewe. Hata kama kamzidi kura milioni moja bado rais wa nchi anschaguliwa na wa zanzibar pia.
 
Huko tunaenda kutembeza bakuli wanasema hivi:

[h=1]U.S. Embassy Statement on Elections in Zanzibar[/h][h=6]October 28, 2015[/h]The United States Government is gravely alarmed by the recent statement of the Chairman of the Zanzibar Electoral Commission in which he announced his intent to nullify the results of the Zanzibari presidential election. This action halted an orderly and peaceful election, as evaluated by observer missions from the U.S. Embassy, European Union, Commonwealth, and Southern Africa Development Community, and a tabulation process nearing completion. We call for this announcement to be recalled, and urge all parties to maintain a commitment to a transparent and peaceful democratic process. The people of Zanzibar deserve that.

Press Releases 2015 | Dar Es Salaam, Tanzania - Embassy of the United States
 
Kuna watu nchi ni watu wazima lakini akili hazimo kabisa!! na watu hawa utawakuta misikitini na makanisani na tena msitari wa mbele lakini damu iko mikononi mwao!! Ni hatari!!
Wengine wameenda hadi Israel, Vatican, mecca Na Medina kuhiji
Wakarudi na majina mapya lakini bado sana roho ngumu
 
Back
Top Bottom