Mr.Venture
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 1,609
- 605
Wafute kwenye vituo vilivyo na ushahidi wa kuwepo kasoro kubwakubwa tu sio nchi nzima. Hiv ccm kwanini mnataka kumwaga damu za watu wasio na hatiya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umefutwa, ni baada ya Maalim Seifu kujitangazia ushindi, bila kufuata utaratibu
Kujitangza kisheria no kosa mwny/kiti amefanya vema
...... .....Wakuu.
Hapa kilichofanyika ni kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar na sii wa muungano.
Hii ni kwa majibu wa mmoja wa wanasheria niliyempigia simu na kumuuliza.
So uchaguzi wa Zanzibar (serikali) ya mapinduzi hauhathiri matokeo ya kura za muungano.
Mzalendo.netMkuu kuna forum fulani ya wazanzibari niliwahi kuwa member ila nimeisahau, unaweza kunikumbusha?
JIFUNZE KWA UNDANI KIDOGO KIONGOZI, USIWE MVIVU WA KUFIKIRI NA HUKU MUNGU AMEKUPA AKIRI
tume-nec futeni matokeo ya urais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania.
Simple logic
kama tume ya kule zanzibar-zec inakiri kuwa uchaguzi ulikuwa na kasoro nyingi,
means hata matokeo ya ya urais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania inabidi yafutwe pia
kwa sababu