Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Vipi matokeo ya Rais wa Muungano kutoka Zanzibar ambayo ZEC imekuwa inaipa NEC iyatangaze, na ZEC imerudi kusema kuwa ni batili? Je, ni halali NEC kutangaza matokeo ambayo anayeyatoa ameshasema ni batili? Hebu tufafanulie maoni yako hapo...Hivyo uchaguzi wa Raisi wa muungano na wabunge wa muungano uliofanyika zanzibar kwangu mimi nauona ulifanyika vizuri chini ya usimamizi wa Jaji Lubuva.Zoezi la kutangaza matokeo liendelee.Ya ZEC wabaki nayo ZEC wenyewe