MFUKUZI
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 933
- 700
NEC sio ZEC..
Wewe usiwe kiazi.. Wapigakura ni walewale na vituo ni vilevile!! Kama haki na taratibu zilikiukwa kwa Wazanzibar wakati wa zoezi la kupiga kura huwezi ukasema kwa kura za Muungano zilikuwa sahihi na kura za Zanzibar zilikuwa na kasoro!!!
Labda walazimishe tu lakini kwa lugha laini na isiyo na mazonge CCM wamekurupuka kushinikiza NEC ifute uchaguzi Zanzibar