CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,048
Hakuna tofauti mzee. Popat ni mtumishi wa Azam kampuni na ni CEO wa Azam FC.Unaujua uongozi wa azam media na azam fc angalia uongozi wa hzo taasisi mbili na utofautishe na uongozi wa gsm na kamati za yanga.
FCC wakibariki basi naamini upande wa pili nao wapinzani wa Yanga wataweka mzigo,hapo sasa itakua patashika nguo kuchanika.Kitu ambacho wengi hawakielewi ni kuwa,mtu pekee mwenye uwezo wa kuuzungumzia mkataba huo ni TFF na GSM. Kuuhoji au kuujadili,majibu yake yatatolewa na hawa watu wawili.
Hata wa Azam,tumeambiwa tu. Hata ukuhoji majibu watatoa Azam na TFF.
Wengine itakua ni blaablaa tu.
Ipo mikataba mingi ambayo inaingiwa na hakuna anayehoji. Huu wa GSM na TFF ni kwakua tu kuna Yanga ndani yake.
Watu hawaangalii manufaa ya mkataba na kiasi cha fedha kilichowekwa,wao wanaangalia tu uwezekano wa Yanga kuutumia mwanya huo kupata ubingwa.
Ninauhakika,FCC watautupilia mbali huu mjadala. Hauna mashiko yoyote.
Duh kumbe nao viongozi wa Azam wapo hivyo,basi ni kuacha tu kazi iendelee.Hakuna tofauti mzee. Popat ni mtumishi wa Azam kampuni na ni CEO wa Azam FC.
Hersi ni mtumishi GSM na ni mjumbe kamati ya usajili ya Yanga. Tena ni mjumbe,mwenzie ni CEO.
Aliyekua Afisa habari wa Azam kabla ya Zaka,bwana Maganga,alipoondolewa kwenye kazi hiyo,amerudishwa UFM.
Azam wanadhaminiwa na maji ya Uhai na vijuice,Yanga anadhaminiwa na Godoro la chapa GSM.
So wote wanastahili kujadiliwa,na wote wanastahili kutokujadiliwa.
Sikuelewi!
Kwani GSM ni ya Hersi?
Ebu angalia utumbo uliouandika
Hasa lile zeruzeru mdomo kunuka ndiyo liliharibu sana kuipiga vijembe Simba kwa mgongo wa udhamini wa GSM.GSM kafanya kihuni Sana kujaza viongozi wa Yanga siku ya kusaini contract Kama wasemaji wake......Ni bora angetafuta watu wengine kumwakilisha.....maana hao ndio wanaoharibu kuonekana timu ya yanga itakuwa na mgongano wa maslai badala ya GSM Kama kampuni .huo ndio ukiukwaji number moja..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hasa lile zeruzeru mdomo kunuka ndiyo liliharibu sana kuipiga vijembe Simba kwa mgongo wa udhamini wa GSM.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Acha kupayuka mpira ni pesa unadhani hao wachezaji wanalipwa maneno?Bora watolewe au kama vipi warudishiwe kimiambili chao
Wameweka hela ya kisheti afu masharti kibao hawataki hata watu wahoji, huo si udwanzi
Unadhani hizo akili anazo basi?Hukutilia shaka Azam kuidhamini ligi upande wa haki ya matangazo kwa miaka 10,na bado akasaini tena na Yanga na Simba mkataba mwingine wa zaidi ya bil 34 kwa kila mmoja kwa miaka 10?
Hukutilia shaka Azam kuidhamini ligi kuu upande wa matangazo na bado akalidhamini kombe la shirikisho ilhali na yeye bado ana timu yake huko!?
Bado Kwenda CASBora wafanye hivoo mana hata Mimi nilikua natilia shaka
Pesa ndio hicho kimiambili kilichokuja na masharti kama ya mganga?Acha kupayuka mpira ni pesa unadhani hao wachezaji wanalipwa maneno?
Tuambie ayo masharti uliyoyaona kwenye huo mkatabaPesa ndio hicho kimiambili kilichokuja na masharti kama ya mganga?
Kwaiyo hersi ndo anawagawia vilabu izo pesa au tff ndo inaweka mgawanyo wa izo pesa? Na izo pesa si zinangia kwenye account ya tff ndo wao wanazigawa kwenye vilabu, sasa apo tatizo liko wapi?“Kuna tofauti kubwa kati ya AZAM FC na AZAM TV hakuna mahali popote unaweza kuona viongozi wa AZAM TV kama kina Tido Mhando, Yahya Mohamed wanajihusiha na shughuli za klabu ya Azam FC.
“Lakini upande wa GSM unamkuta Hersi, anaweza kuzungumza vyovyote lakini operations za klabu ya Yanga kwa asilimia kubwa zinaendeshwa na haohao viongozi wa GSM. Mtu mmoja anajihuisha na kusajili Yanga na hapohapo yupo katika upande wa kampuni ya GSM lazima mashaka yawepo.”
GEOFFREY LEA,Mchambuzi wa EFM.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Alikujibu nishtuwe, ngoja niwatengenezee wateja wangu nyama pendwa!Kwaiyo hersi ndo anawagawia vilabu izo pesa au tff ndo inaweka mgawanyo wa izo pesa? Na izo pesa si zinangia kwenye account ya tff ndo wao wanazigawa kwenye vilabu, sasa apo tatizo liko wapi?
Huu mjadala auna mashiko ni wa kupuuzwa
Kawapiga na kitu kizito kichwani safari hiiTatizo GSM pia ni viongozi ndani ya Yanga.Hapo ndio tatizo linapoanzia.Hersi atoke kwenye uongozi wa Yanga abakie kama mdhamini.Aachane na kujihusisha na usajili na kadhalika
kwan kuongoza ligi kwa tofauti ya point 2 inakufanya ujione wewe nani labda.Kwanini hutulii shaka Azam? kisa Yanga kaongoza ligi
TFF wamesema hairuhusiwi kuhoji kuhusiana chochote na hizo helaTuambie ayo masharti uliyoyaona kwenye huo mkataba