Tume ya ushindani kuchunguza udhamini wa GSM ligi kuu

Tume ya ushindani kuchunguza udhamini wa GSM ligi kuu

Unaujua uongozi wa azam media na azam fc angalia uongozi wa hzo taasisi mbili na utofautishe na uongozi wa gsm na kamati za yanga.
Hakuna tofauti mzee. Popat ni mtumishi wa Azam kampuni na ni CEO wa Azam FC.
Hersi ni mtumishi GSM na ni mjumbe kamati ya usajili ya Yanga. Tena ni mjumbe,mwenzie ni CEO.

Aliyekua Afisa habari wa Azam kabla ya Zaka,bwana Maganga,alipoondolewa kwenye kazi hiyo,amerudishwa UFM.

Azam wanadhaminiwa na maji ya Uhai na vijuice,Yanga anadhaminiwa na Godoro la chapa GSM.

So wote wanastahili kujadiliwa,na wote wanastahili kutokujadiliwa.
 
Kitu ambacho wengi hawakielewi ni kuwa,mtu pekee mwenye uwezo wa kuuzungumzia mkataba huo ni TFF na GSM. Kuuhoji au kuujadili,majibu yake yatatolewa na hawa watu wawili.

Hata wa Azam,tumeambiwa tu. Hata ukuhoji majibu watatoa Azam na TFF.
Wengine itakua ni blaablaa tu.

Ipo mikataba mingi ambayo inaingiwa na hakuna anayehoji. Huu wa GSM na TFF ni kwakua tu kuna Yanga ndani yake.
Watu hawaangalii manufaa ya mkataba na kiasi cha fedha kilichowekwa,wao wanaangalia tu uwezekano wa Yanga kuutumia mwanya huo kupata ubingwa.

Ninauhakika,FCC watautupilia mbali huu mjadala. Hauna mashiko yoyote.
FCC wakibariki basi naamini upande wa pili nao wapinzani wa Yanga wataweka mzigo,hapo sasa itakua patashika nguo kuchanika.
 
Hakuna tofauti mzee. Popat ni mtumishi wa Azam kampuni na ni CEO wa Azam FC.
Hersi ni mtumishi GSM na ni mjumbe kamati ya usajili ya Yanga. Tena ni mjumbe,mwenzie ni CEO.

Aliyekua Afisa habari wa Azam kabla ya Zaka,bwana Maganga,alipoondolewa kwenye kazi hiyo,amerudishwa UFM.

Azam wanadhaminiwa na maji ya Uhai na vijuice,Yanga anadhaminiwa na Godoro la chapa GSM.

So wote wanastahili kujadiliwa,na wote wanastahili kutokujadiliwa.
Duh kumbe nao viongozi wa Azam wapo hivyo,basi ni kuacha tu kazi iendelee.
 
Sikuelewi!

Kwani GSM ni ya Hersi?

Ebu angalia utumbo uliouandika

Sasa huyo Hersi huko TFF alienda kufanya nini kama siyo mmoja ya watendaji wanaoaminiwa zaidi na Mmiliki wa GSM Group?
Pale Yanga uwepo wa GSM unasimamiwa kwa asilimia 100% na Hersi,unawezaje kumuignore katika hili la GSM vs TFF or Yanga?
 
GSM kafanya kihuni Sana kujaza viongozi wa Yanga siku ya kusaini contract Kama wasemaji wake......Ni bora angetafuta watu wengine kumwakilisha.....maana hao ndio wanaoharibu kuonekana timu ya yanga itakuwa na mgongano wa maslai badala ya GSM Kama kampuni .huo ndio ukiukwaji number moja..

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hasa lile zeruzeru mdomo kunuka ndiyo liliharibu sana kuipiga vijembe Simba kwa mgongo wa udhamini wa GSM.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ni dhahiri FCC watatupilia mbali hili swala
1: Mkataba ni kati ya TFF na GSM,
Hakuna uhusiano wa mkataba huu na upangaji wa matokeo

2: GSM hamiliki timu yoyote ya ligi
Ila anadhamini baadhi ya timu na
na udhamini huu ni wa kibiashara

3: GSM wangekua wanataka kupanga matokeo ili yanga achukue ubingwa, wangeweza tu kufanya hivyo tena kwa gharama ndogo isiyofika hata bilioni moja.
 
Bora watolewe au kama vipi warudishiwe kimiambili chao

Wameweka hela ya kisheti afu masharti kibao hawataki hata watu wahoji, huo si udwanzi
Acha kupayuka mpira ni pesa unadhani hao wachezaji wanalipwa maneno?
 
Hukutilia shaka Azam kuidhamini ligi upande wa haki ya matangazo kwa miaka 10,na bado akasaini tena na Yanga na Simba mkataba mwingine wa zaidi ya bil 34 kwa kila mmoja kwa miaka 10?

Hukutilia shaka Azam kuidhamini ligi kuu upande wa matangazo na bado akalidhamini kombe la shirikisho ilhali na yeye bado ana timu yake huko!?
Unadhani hizo akili anazo basi?
 
Shaffih Dauda na muhuni mwenzie Jemedari Said hawataiweza hii vita.

Hayo madai hayana mantiki kisimgi, Tusubiri tuone.
 
Heheheh watu wana mambo. Kwamba nchi hii tuna imani kabisa kua hiyo tume itasema huo mkataba ni batili na haupaswi kuwepo. 🤣😁
 
Hao FCC ni takataka kwanini hawahoji azam ana miliki team inacheza ligi, na ana dhamini simba na Yanga na pia azam anatoa udhamini wa kombe la FA bila kusahau Azam wana udhamin wa kurusha mechi zote za ligi... yote haya hawajawahi kuhoji ila kitu kidogo ambacho hakina maana ndo wanashupalia.

Hii nchi itabaki nyuma kwa kila kitu kama tutaendelea kuingiza siasa hadi kwenye yasio na Siasa. Huu ni ushamba na upuuzi.

Hii nahisi tulilaaniwa
 
“Kuna tofauti kubwa kati ya AZAM FC na AZAM TV hakuna mahali popote unaweza kuona viongozi wa AZAM TV kama kina Tido Mhando, Yahya Mohamed wanajihusiha na shughuli za klabu ya Azam FC.

“Lakini upande wa GSM unamkuta Hersi, anaweza kuzungumza vyovyote lakini operations za klabu ya Yanga kwa asilimia kubwa zinaendeshwa na haohao viongozi wa GSM. Mtu mmoja anajihuisha na kusajili Yanga na hapohapo yupo katika upande wa kampuni ya GSM lazima mashaka yawepo.”

GEOFFREY LEA,Mchambuzi wa EFM.


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwaiyo hersi ndo anawagawia vilabu izo pesa au tff ndo inaweka mgawanyo wa izo pesa? Na izo pesa si zinangia kwenye account ya tff ndo wao wanazigawa kwenye vilabu, sasa apo tatizo liko wapi?
Huu mjadala auna mashiko ni wa kupuuzwa
 
Kwaiyo hersi ndo anawagawia vilabu izo pesa au tff ndo inaweka mgawanyo wa izo pesa? Na izo pesa si zinangia kwenye account ya tff ndo wao wanazigawa kwenye vilabu, sasa apo tatizo liko wapi?
Huu mjadala auna mashiko ni wa kupuuzwa
Alikujibu nishtuwe, ngoja niwatengenezee wateja wangu nyama pendwa!
 
Back
Top Bottom