utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,813
Katiba mpya itakuwa ni mkombozi ni vema tume wakafanya kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kulipia umeme sio issue,ni nchi ndogo sana zanzibar wakipata madaraka kamili,mambo yao yatakuwa safi sana.
bora iwe hivyo hakuna mbunge kuwa waziri,halafu uteuzi wa mawaziri ufuate uwiano wa jinsi vyama vimechukua viti vingapi vya ubunge,na waidhinishwe na bunge.
Aiseee! Ngoja tusubiri, Kinana kawaruhusu? Na fastjet a.k.a msaidia mateja wenye macho mlegezo, paja zenye tattoo na kiuno chembamba NA siyo akina Ngwair?
wewe unamjua warioba au unamsikia anamsimamo kama jiwe atawashangaza wengi.
umeonyesha umahiri.....ila kwenye issue ya mawaziri kutokua wabunge unasema haina logic?.....huo ni umahiri wa kipuuzi...afu we gamba sema unajitahidi kurudisha akili kichwani
wataruhusu na uliberali uwe rasmi visiwani??
Hawa wazee wameamua waingie katika historia ya Taifa hili.Lakini pia hata Rais Kikwete akiafiki haya mambo makubwa bila upinzani wowote naye ataingia katika historia ya aina yake.
Mkuu Elungata umetoa hoja nzuri sana.
Mkuu Molemo,
Binafsi natamani sana kuona jambo hili likiwa kweli, lakini tatizo ninaloliona mchakato mzima tangu mwanzo ulichukua sura ya kisiasa zaidi ya utaifa!! Shetani kaokoka!!??
Pia wasiwasi wangu, wazee wanaweza kuwa wazalendo, je Rais na "wenye nchi" kule Bungeni (maana ni wengi "ndiyooo") wataukubali uzalendo huu!!?
TUZIDI KULIOMBEA TAIFA LETU DHIDI YA WANYONYAJI!!
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU.
Tume haitengenezi jambo jipya, inaandika mambo ambayo wananchi wameyatoa kwenye maoni yao. Rasimu sio ya Tume ni ya watanzania.
Tunaitaji tanzania endelevu habari za vyama vya siasa iwekwe pembeni.
Huo ni wivu unakusumbua? Kwani ulisikia mangwear alikuwa adicted kiasi cha mtu unayemtaja. Kule south afrika si alienda kikazi kuonyesha kuwa hakuwa na matatizo yoyote na tuliambiwa kuwa alipiga shoo tanoAiseee! Ngoja tusubiri, Kinana kawaruhusu? Na fastjet a.k.a msaidia mateja wenye macho mlegezo, paja zenye tattoo na kiuno chembamba NA siyo akina Ngwair?
Kupiga marufuku wabunge kuwa mawaziri ni kitu ambacho hakina logic. Mambo ya umri wa uraisi sio màmuzi mazito kwan lilikuwepo hata kwenye katiba ya sasa. Mambo ya msingi na mazito ni kuhusu mamlaka ya urais kama taasisi na sio mtu, watueleze matumizi ya rasilimali zetu, muundo na uendeshaji wa muungano, uhuru, haki na wajibu wa raia wetu, mipaka ya uwajibikaji katika taasisi za kiserikali, itikadi na falsafa ya taifa letu na pia muundo na muingiliano wa nguzo kuu za dola. Hatutaki porojo.
Kwa mara ya kwanza Leo naomba kuunga mkono, hivi vyama kuna siku vitapotea but our country is there hata utimilifu wa dahari.