Tume ya Warioba yaja na Rasimu ya Katiba yenye maamuzi mazito...

Tume ya Warioba yaja na Rasimu ya Katiba yenye maamuzi mazito...

Status
Not open for further replies.
Sera ya majimbo ilikuwa ni ya CHADEMA, wameikubali sasa!
 
Kwa suala la katiba inabidi kuwa makini na tusianze kuspeculate kwani inaweza ikawa janja yao kuangalia mwitikio utakuwaje. Sio ajabu kuna rasimu zaidi ya moja na wanaweza wakachomoa yoyote kulingana na maelekezo ama matakwa ya watawala.

Umenena!
 
watanzania, tu atakwa kupigwa bao la kisigino, hii taarifa ,kwanza sio rasmi,hapa na ndani ya tasisi hii yetu sio mwenzetu,hisia zangu, zaweza kunituma kwenye ukweli kwamba, suala kusema kusifia hiki kidogo sana, cha mara mbunge hafai kuwa waziri hata mimi naona it's a half logic,implication zake ni zipi , ikiwa wabunge wawe wabunge, na mawaziri kama mawaziri, mtakuwa na wabunge wangapi, na mawaziri wangapi kulinga na wingi wa wizara zilivyo, mnaweza kujikuta, kumbe afadhari na dume la panya kikwete ambavyo aliawaganya wizara mpaka kwa mama mkwe akapata wizara,, logic tume ya uchaguzi ni huru, sio hawa akina warioba ndumila uwili, wa sisiem, kuna mhuni mmoja eti ana dai tume hii imejitoa mhanga maana katiba hii haita iruhusu chadema, kuongoza Tanzanaia, kivipi, kama hii katiba imelenga kunyanyasa chama chetu cha maendeleo, sio katiba ambayo sisi wanainchi tusubiri, maana tunajua itakuja, na madebe ya unga ya unyanyaso wa, wa watanznia, wasio na hatia wenye kufuata haki zao za msingi kwa kuchagua chadema kama chama chao wanachokipenda.
namaalizia kwa kusema katiba iliyo njema ni ile ambayo imelenga kuinua uchumi wa watanzania,kuleta umoja kwa watanzania,kuleta usawa kwa watanzania,maadili kwa watanzania, na kuondoa utabaka kwa watu wake, wala si vinginevyo.
 
mambo yanabadilika na watanzania wa sasa sio kama wale wa zamani ambao walikuwa na wasomi wachache. vyama vina chukua idadi ndogo sana ya watanzania wote. ni upumbavu kutanguliza maslahi ya vyama baadala ya kuweka utaifa mbele. hili sio taifa laccm, cuf, chadema na wengine. katiba lazima iweke haki za raia mbele bila kujali ni chama gani kiko madarakani. mikate ikipanda bei na mafuta yakipanda hayaathiri raia wa chama fulani au dini fulani.
kama kweli tume imefanya mambo hayo basi tuna wajibu wa kujivunia tume yetu na rais wetu kikwete.
pia ushauri wangu kwa mheshimiwa rais Kikwete ni mmoja tu. katika vitu vitakamfanya akumbukwe na uheshimiwa hata akiwa marehemu ni kutuachia katiba safi inayowajali wananchi na kutoa fursa sawa kwa wote.
 
mwenye soft copy ya Rasimu ya katiba mpya naomba wakuu
 
Tume ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba inatarajiwa kutoa Rasimu ya Katiba kuanzia kesho Jumatatu.

Taarifa za uhakika kutoka ndani ya tume hiyo zinasema wajumbe wa tume hiyo wameamua kuweka itikadi za vyama pembeni na kuibuka na rasimu ya Katiba yenye mambo mazito na makubwa.

Kati ya yaliyomo ndani ya Rasimu hiyo ni Uanzishwaji wa Serikali ya Tanganyika,Tume huru ya uchaguzi na pia kupiga marufuku wabunge kuwa mawaziri.Pia tume hiyo imependekeza umri wa kugombea urais uwe kuanzia miaka 40.

Wachambuzi wa mambo wanasema haya yatakuwa ni maamuzi magumu na mazito yamefanywa na tume na pia itakuwa imeondoa kabisa uwezekano wa Chama cha CHADEMA kuongoza watanzania kuipinga katiba hiyo kama walivyokuwa wameahidi awali.

Source: Tanzania Daima Jumapili UK. 2

Tume wamejitahidi kuifanya katiba kuwa yenye manufaa kwa watanzania wote japo bado kunavipengere ambavyo si vizuri kama raisi kuendelea kuwa na kinga ya kushitakiwa. kuna uihitaji wa kuboresha zaidi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom