Tume ya Warioba yaja na Rasimu ya Katiba yenye maamuzi mazito...

Tume ya Warioba yaja na Rasimu ya Katiba yenye maamuzi mazito...

Status
Not open for further replies.
Mbona hakuna maamuzi mazito hapo.....hayo yalikuwa ni lazima yawepo kwenye katiba....la sivyo isingekuwa mpya...!!!!


NI KWELI KABISA MKUU.
PIA KUNA MAMBO MENGI WALIYOYAACHA AMBAYO NI MAMBO MAZITO NA NI YA LAZIMA.
MF:

>Haki ya kupinga matokeo ya urais mahakamani.
>Kinga ya rais mbele ya sheria ifutwe .
>Madalaka ya rais yapunguzwe
>Rais anapobolonga kuwe na namna ya kumuondoa kisheria.
>Rasilimali za nchi zitumike kuwanufaisha waTz.
>Chaguzi zisifanyike siku za ibada (Changamoto ni kwamba ibada zipi na siku zipi? ingali Tz haina dini?)
>
>
>
.
.
N.k
 
ha ha basi tutakushukuru mzee wetu ila usisahu matokeo ya uraisi kupingwa mahakamani pliz mzee na mahakama zetu ziwe huru na zitoe haki...tutaanza kuisoma kesho
bado la kufuta wakuu wa wilaya, mikoa na kupunguza madaraka ya rais. kuna vitu vinavyotuumiza watanzania hatuvitaki. hata kama akiwa ni rais wa tume kama hana nguvu hawezi kufanya ujinga ujinga.
 
"Rasimu ya Katiba Mpya kutangazwa leo: Muundo wa Muungano, madaraka ya Rais, uteuzi wa mawaziri, wakuu wa mikoa / wilaya na mihimili mingine ya dola 'Mahakama na Bunge' kuwekwa wazi leo."

Leo mchana' Tume ya Mabadiliko ya Katiba itazindua rasimu ya Katiba Mpya kwenye tukio la kihistoria litakalofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam.

Uzinduzi wa rasimu ya unafanyika baada ya Tume hiyo kufanya kazi ya uchambuzi wa maoni ya wananchi. maoni hayo yalitolewa na wananchi wapatao 1,015,564 kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na waliohudhuria mikutano ya moja kwa moja, waliotumia njia ya kutuma ujumbe mfupi wa simu (sms), barua pepe na kutumia mitandao ya kijamii....


CHANZO: MWANANCHI
 
Mwelekeo wa Taifa la Tanzania utaanza kujulikana leo mchana Tume ya Mabadiliko ya Katiba itakapozindua rasimu ya Katiba Mpya kwenye tukio la kihistoria litakalofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam.
 
The executive branch will always be powerful no matter what. Labda tuondoee hii PRESIDENTIAL SYSTEM OF GOVT tuliyonayo sasa hivi.
 
We bora ungeendele kulala tu,maana hata post yako imekaa kiusingizi usingizi.
 
...Vipi ile mahakama yetu? du! yaani tunakosa ajira hivivi pamoja na "kuokoa jahazi" na kutetea imani?
 
The responsible organs should not beat about the bush (deceive) in preparation of the new constitution as it the backbone of the Tanzanian citizens
 
NI KWELI KABISA MKUU.
PIA KUNA MAMBO MENGI WALIYOYAACHA AMBAYO NI MAMBO MAZITO NA NI YA LAZIMA.
MF:

>Haki ya kupinga matokeo ya urais mahakamani.
>Kinga ya rais mbele ya sheria ifutwe .
>Madalaka ya rais yapunguzwe
>Rais anapobolonga kuwe na namna ya kumuondoa kisheria.
>Rasilimali za nchi zitumike kuwanufaisha waTz.
>Chaguzi zisifanyike siku za ibada (Changamoto ni kwamba ibada zipi na siku zipi? ingali Tz haina dini?)
>
>
>
.
.
N.k
Ni kweli mkuu..na wakuu wa wilaya na mikoa pia ni wa kuondoa...na pia vyeo vingine kama katibu tarafa, kata, mtaa,shina vipunguzwe kazizao zinaweza kufanywa na watu wawili tu hapo....madaraka ya raisi...bunge huru na kuwe na idadi maalumu na kiwango cha elimu kwa wabunge kiongezeke angalau form six....mahakama huru....
 
Hujaelewa, hili ni juukwaa la siasa na sio jukwaa la kufundishia kiswahili
 
Tutegemee nini kipya kwenye mswaada wa katiba mpya? Karibuni waungwana..
 
Inatoka leo. kama huku-speculate all this time just be patient and wait for the official draft
 
Mimi nilidhani labda umeipata na unatuwekea tuisome kumbe hamna kitu
 
Kumekucha, ifikapo saa nane mchana leo, Tume ya Mabadiliko ya Katiba chini ya Jaji Joseph Warioba itazindua Rasimu ya Katiba Mpya, tukio hilo litafanyika Jijini Dar es Salaam kwenye Viwanja vya Karimjee, ni wakati wako wewe Mtanzania kuhakikisha unaipata Rasimu hiyo ili uone kama maoni yako yamefanyiwa kazi kama unavyotarajia au la, lakini pia uweze kutoa maoni yako.
 
C tanzania ni muelekeo wa wadanganyika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom